Kisa mgongano wa kisiasa; Jay Z na Beyonce wajiweka mbali na Kanye West

Alikuwa ana haki ya kusema hayo " kwa sababu fans wake walikuwa wanataka kujua sababu iliyopelekea mahusiano yao kuyumba " wakati walikuwa ni brothers. .. so logic Yako ni ipi !!?
 
Nao kina jayz wamezidi kujiona wako perfect. Jayz alivyopokea kipondo kutoka kwa shemeji yake mbona bey hakuvunja undugu na solange.

Mimi siwapendi.
safi wanapenda kuwaamulia wenzao namna ya kuishi " hata mimi siwahusudu
 
Huu uzi kama nimevamia kitchen party,[emoji23][emoji23][emoji23]
Ladies endeleen yenu,
Ngoja nkasake 1bn
 
Ila Kim hanaga shida na mtu kabisa, kizuri zaidi kawa mama bora hakuna mfano!

Vitoto vyake vizuri anavipigisha pamba, north anavyotokelezea sasa! Kamcheki Blue mara nywele hajachana, mara kapauka mtoto yuko rough sana yule aaagh!
Hahaa
 
Alikuwa ana haki ya kusema hayo " kwa sababu fans wake walikuwa wanataka kujua sababu iliyopelekea mahusiano yao kuyumba " wakati walikuwa ni brothers. .. so logic Yako ni ipi !!?
Mkuu Nadhani la msingi ni kujua"mwanamke anaweza kukuvunjia mahusiano yako na ndugu/washkaji zako".
 
Mkuu Nadhani la msingi ni kujua"mwanamke anaweza kukuvunjia mahusiano yako na ndugu/washkaji zako".
Yeah hakika ", hata mimi imenitokea hii but sometimes uvunjaji wake unaweza kuwa na tija (May be anaona watu waliokuzunguka hawana vision za maisha zitakazo weza kukuinua) au ukawa usiwe na tija (ukasukumwa na roho yake mbaya tu )
 
w
Lkn Jay-Z nayeye si kuna video(cctv) ilionyesha akipigwa teke kwny lift na yule demu mdogo ake beyonce(Solange),yeye huo ni mfano gani kwa watoto wake.
wale jamaa na mke wake wanajikuta perfect sana.... na alipigwa sababu solange aligundua hov amecheat
 
Alikuwa ana haki ya kusema hayo " kwa sababu fans wake walikuwa wanataka kujua sababu iliyopelekea mahusiano yao kuyumba " wakati walikuwa ni brothers. .. so logic Yako ni ipi !!?
ulisema yeezy hana habari na mtu ...me najua mtu asiye na habari na mtu hawezi lalamika kama jamaa alivyolalamika vile....

yani kwa jinsi jamaa alivyoongea it was like yy ndio anajipendekeza kwa hov kwahyo so analalamika hov anavyompotezea
 
ulisema yeezy hana habari na mtu ...me najua mtu asiye na habari na mtu hawezi lalamika kama jamaa alivyolalamika vile....

yani kwa jinsi jamaa alivyoongea it was like yy ndio anajipendekeza kwa hov kwahyo so analalamika hov anavyompotezea
mkuu kanye nimtu ambaye hana unafiki " ukimzingua ana kuchana tu black & white ".. aliamua kufanya vile ili watu waweze kumtambua mbaya ninani kati yao " kwa sababu jiga na demu wake huwa wanajifanya ni ma innocent mbele ya kadamnasi " wakati sio kweli ni ma wack ile mbaya " so alitaka watu waifahamu rangi halisi ya the Carter's na sio vinginevyo "... muda wa shobo hana !!!
 


duh rafiki watu mpo vizuri utakuwa wewe ni Jirani yao kule USA
ama uko hapa Bongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…