Hakuna kitu mkuu.Bila u genius wa CCM....usinge exist
Mwaka huu timu haiko organizedMwaka jana walitutoa kwa aggregate lakini uwanja uligeuka sehemu ya dua kwa mashabiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu simba inashuka ila Yanga inapandaHakuna kitu mkuu.
Leta mada za kwenda kuhusu yanga, achana na simba ambayo inashuka taratibu bila wao kujua
Kila la heri.....Thimba....team yenu haielewekiiiMwaka jana walitutoa kwa aggregate lakini uwanja uligeuka sehemu ya dua kwa mashabiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Wydad wanaweza wasiwe wazuri ,lakini Simba ya mwaka jana ilikuwa mbovu zaidiMwaka huu timu haiko organized
Hongera yenu kuelewekaKila la heri.....Thimba....team yenu haielewekiii
Chaji simu wewe acha umbea wa kufuatilia group la Yanga.Ni kweli mkuu simba inashuka ila Yanga inapandaView attachment 2835912
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo chaji mbona inatoboa usiku huu wasiwasi wako tuChaji simu wewe acha umbea wa kufuatilia group la Yanga.
KabisaKila uzi simba, relax na ulete vitu vya maana kuhusu football au huna ubongo km wana CCM
We kweli kilaza.Wameleta professional Coacher