Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
[emoji1630]Klabu ya Wydad AC imewarudisha wachezaji wake wawili ambao ni Zouahir El Moutaraji na Ismail El Moutaraji ambao walishaanza mazoezi na timu
[emoji1630]Wachezaji hao wawili walikuwa wanatumikia adhabu ya utovu wa nidhamu ila wamerudishwa ili kutafuta ushindi dhidi ya Simba
Via LE Matin
#FutbalPlanetUpdates
NB: Simba mwafwa [emoji23][emoji23] ....naona Simba ikipigwa si goal chini ya 4
[emoji1630]Wachezaji hao wawili walikuwa wanatumikia adhabu ya utovu wa nidhamu ila wamerudishwa ili kutafuta ushindi dhidi ya Simba
Via LE Matin
#FutbalPlanetUpdates
NB: Simba mwafwa [emoji23][emoji23] ....naona Simba ikipigwa si goal chini ya 4