Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala siyo typing error…Ungesema tu coach na siyo “coacher”Typing error
🤣🤣🤣🤣Chaji simu wewe acha umbea wa kufuatilia group la Yanga.
Labda mpindue MWIKOKesho tunapindua msimamo
Sawa mkuu ... nmekupataWala siyo typing error…Ungesema tu coach na siyo “coacher”
Kwa vile Kiswahili ni kocha, na wewe ukataka kuandika kizungu ukasema “professional coacher”
Ilitakiwa useme “professional coach”
Hilo neno “coacher” lina maana tofauti kabisa.
Sidhani kama unafahamu maana ya “typo”
Ebu sema ulitaka kuandika nini ikatokea hiyo typo?
Hapana mwiko wa 3-0Mwiko uliowagonga 5...1 [emoji32][emoji32]
Aaah wapi!....Ccm ina Ugenius upi ? Au kuiba kura na kula kwa urefu wa kamba zao ndio Ugenius ?Bila u genius wa CCM....usinge exist
Simba wakifungwa poa tu. Si ndiyo hawa mashabiki wao siku ile walikuwa wanawashangilia Al Ahly, ila baada ya Wananchi kurudisha lile goli wakabakia wadogo kama pirton.
Chama chochote chenye dola kinaweza kufanya hayo....Miundombinu ya Maendeleo...+ Kujenga mashule uliyosoma
Ilikuwa Simba inayojitambua siyo hii ya star KibuKwani simba haijawahi kucheza na waydad mkuu mbona unapiga mikwara.
Aaah wapi!...mbona hiyo nidhamu hatuioni kwenye suala la umeme ?Tatizo ni nidhamu ya kusimamia miradi vyama vingine haviwez kuwa nayo
Hata wamlete nani, kichapo kinawahusu tu!! Pole Laban og!! Hii ndiyo caf champions league!! Achana na mawazo ya losers cup ambako ulikuwa unapiga ndani nje!! kia unakuhusu hadi mwisho!![emoji1630]Klabu ya Wydad AC imewarudisha wachezaji wake wawili ambao ni Zouahir El Moutaraji na Ismail El Moutaraji ambao walishaanza mazoezi na timu
[emoji1630]Wachezaji hao wawili walikuwa wanatumikia adhabu ya utovu wa nidhamu ila wamerudishwa ili kutafuta ushindi dhidi ya Simba
Via LE Matin
#FutbalPlanetUpdates
NB: Simba mwafwa [emoji23][emoji23] ....naona Simba ikipigwa si goal chini ya 4View attachment 2835773
Tanzania ni kubwa mkuu.....ku supply Umeme nchi nzima sio kitotoAaah wapi!...mbona hiyo nidhamu hatuioni kwenye suala la umeme ?
Unaweza kututajia miradi iliyosimamiwa na wapinzani ikakwama ? Kama ipo labda.