Kisa Simba wydad yawarudisha wachezaji wake kikosini

Hata wamlete nani, kichapo kinawahusu tu!! Pole Laban og!! Hii ndiyo caf champions league!! Achana na mawazo ya losers cup ambako ulikuwa unapiga ndani nje!! kia unakuhusu hadi mwisho!!
Na hili nimeliona
 
Miaka 60 bado mnajitafuta?...mtajipata lini sasa?
In makamba voice "wewe kwako Kila kitu umekitekeleza" ?????..... serikali ni kama baba ....Kila kitu anakifanya mdogo mdogo... huwezi makiza vyote
 
In makamba voice "wewe kwako Kila kitu umekitekeleza" ?????..... serikali ni kama baba ....Kila kitu anakifanya mdogo mdogo... huwezi makiza vyote
Nyie mmetekeleza kipi kilichofanikiwa mpaka sasa ?
 
Kuongeza idadi ya watalii

Ujenzi wa vyumba vya madarasa

98% , kusambaza Umeme vijijin + maji
Hayo yote kila chama chenye dola kinaweza kufanya tena zaidi ya hayo.
 
GOOOOOOOOOLLL

GOOOOOOOOOOOOLL

GOOOOOOOOOLLL

GOOOOOOOOOOOOLL

GOOOOOOOOOLLL

GOOOOOOOOOOOOLL

KWA WYDAD CASABLANCA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…