Kisa uchawi, Simba yaadhibiwa tena na TFF

Kisa uchawi, Simba yaadhibiwa tena na TFF

Ile faini mliyopigwa ya kuingia uwanjani kwa kutumia milango isiyo rasmi unaikumbuka? Kitendo kile hakikuwa cha kishirikina?
Kama ni kitendo Cha kishirikina TFF hawang'ati maneno, ndio maana Kuna vitendo vya kishirikina katika mechi za simba vimedhihirika na kutamkwa hadharani na Tff.
 
Kama ni kitendo Cha kishirikina TFF hawang'ati maneno, ndio maana Kuna vitendo vya kishirikina katika mechi za simba vimedhihirika na kutamkwa hadharani na Tff.
Ile tabia yenu ya kuanza mechi kwa kutupiga mpira nje inajulikana inatokana na nini. Yale maji ya maiti mliyomwaga uwanjani siku mnacheza na Simba ulikuwa ushirikina typically. Msifikiri hatuwajui.
 
Ile tabia yenu ya kuanza mechi kwa kutupiga mpira nje inajulikana inatokana na nini. Yale maji ya maiti mliyomwaga uwanjani siku mnacheza na Simba ulikuwa ushirikina typically. Msifikiri hatuwajui.
Nanyie igeni ili mu mfunge Yanga, ila Tff hawawaonei hii tabia ya kuadhibiwa ni mfululizo wa miaka kumi, kwasasa ndio ime kithiri.
Hakuna mwaka ndani ya hii miaka kumi ambao Simba haijawahi ku adhibiwa kwa mambo ya kishirikina.

Na ivisasa mnaongoza uko Caf kwa mambo ya shirki na muda si mrefu mtakutana na Rungu halisi la Caf.
Kwasasa Caf wana walia timing tu.
 
Mpira wa bongo una safari ndefu, kama timu kubwa zinafanya haya mambo huko daraja la kwanza itakuaje?
 
Nanyie igeni ili mu mfunge Yanga, ila Tff hawawaonei hii tabia ya kuadhibiwa ni mfululizo wa miaka kumi, kwasasa ndio ime kithiri.
Hakuna mwaka ndani ya hii miaka kumi ambao Simba haijawahi ku adhibiwa kwa mambo ya kishirikina.

Na ivisasa mnaongoza uko Caf kwa mambo ya shirki na muda si mrefu mtakutana na Rungu halisi la Caf.
Kwasasa Caf wana walia timing tu.
Halafu hii Africa kwa unafiki imezidi. Usikute hapo ulipo nyumba,gari,ofisi na kila kitu chako umekizindika kwa ndumba halafu hapa unaanza kuponda wengine.
 
Hii timu inafahamika duniani kote kwa kundekeza vitendo vya kishirikina. Halafu kinachosikitisha sasa, huwa wanafanya hivyo vitendo vyao mbele ya hadhara eti!! Huwa hawaoni hata aibu.
 
Halafu hii Africa kwa unafiki imezidi. Usikute hapo ulipo nyumba,gari,ofisi na kila kitu chako umekizindika kwa ndumba halafu hapa unaanza kuponda wengine.
Kwaiyo ukizindika ukifa unazikwa navyo!!.
Maana italeta mantiki kama utaweza kujizindika ili nawe usife.
 
Back
Top Bottom