Kisa wivu wa mapenzi, mume adaiwa kumuua mke kisha kumtenganisha kichwa, kiwiliwili na viungo vingine

Kanda ya Ziwa mnapokezana siku tu,Roho iliyowaingia huko sijui mmeitoa wapi?
 
duh haya matukio isije ikawa ni matokeo ya chanjo zile 😎 nawaza tu lakini
 
kama huyu ndio mzazi wangu bora nikawe omba omba kuliko kuwa ndani ya hiyo nyumba.

huwezi charanga binadamu kama kuku kiasi hicho.
 
Mtuhumiwa anajua alichopanga na mganga wake,si wivu huo. Sukuma land mnatisha kwa hizi Imani. Niko huku najua.
 
... ndugu zangu wasukuma tunatia aibu kwa mambo haya kipumbavu!
Wivu wa mapenzi hauna kabila na wasukuma tu wauao kwa wivu wa mapenzi.

Cha msingi watz tuamke mkishindwa mnaachana kwa amani.
 
hii vita hatuimalizi mpaka wanawake wabaki kwenye mstari ulionyooka
 

Attachments

  • 64A39536-FF70-4BC9-B230-7A6E0A9368F5.jpeg
    77.3 KB · Views: 12
Aisee ana Roho ngumu afungwe tu Maisha mabaya Msamaha wa Rais asitoke
 
Mtaongea sana mtalalamika sana ila matatizo na migogoro mingi ya ndoa inaanzia kwenye simu
Simu ndo sumu namba moja ya ndoa za sasa hayo mengine ni ziada.
 
Kwa nini haya mambo huwezi kuyasikia sana pwani?
Dini na hofu ya mungu
Ukikuta mkristo anaijua dini kweli
Ukikuta muislamu anaijua dini kweli
Sio huko vita ni vita mura.
 
Mungu wangu [emoji2958][emoji26][emoji24]

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Huyu kaulizwa akasema wivu wa Mapenzi, mbona inaonekana hata kama hajui huo wivu wa mapenzi ni nini.

Alafu wivu gani wa kukatakata viungo, na tena sehemu nyeti kafukia jikoni...huu ni ule ule ujinga wa ushirikina kwa asilimia 90....hilo la wivu wa mapenzi inaonesha karopoka tu.
 
_King we fala si wa kanda ya ziwa? Naomba muache yule binti wa kule jukwaa la Snap it.
 
Siku hizi mwenza akianza kucheza na panga au bunduki potea nakwambia litakukuta jambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…