Tetesi: Kisandu ni kweli kajiengua Kanisa Katoliki

yani unahama dhehebu kisa umezinguana na kikundi cha watu ndani ya hilo dhehebu? vipi na huko anakoenda akikuta mchungaji ana dhambi zake, je atahama tena?
 
Pole sana ndugu.. ulijiunga utawani mwaka 98 mwaka 99 ukajitoa eti kwa kuona umekaa muda mrefu bila kupanda ngazi.. mwaka mmoja unakata tamaa?? Inaonekana una pupa sana..
 
nimeona uvivu kumalizia kwa kuwa mwandishi umegusa kanisa katoliki lenye maadui wengi sana hapa duniani...

yesu mwenyewe kwa kinywa chake alisema "wala milango ya kuazimu haitalitikisa haitalitikisa kanisa lake"...

hacha magugu na ngano vimee pamoja, ili utukufu wa Mungu uweze kujidhihilisha
 
mshan jr;
Aelewe kuwa Papa Pius wa X alisema katika mtaguso mkuu kuwa, mtu yeyote atakaye uasi Ukatoliki, akifa ni motoni milele hivyo Kisandu jiandae kabisa kwenda motoni. Tuulize tulioukulia huo Ukatoliki

shida wakatoliki wengi hawasomi biblia ndo maana papa alitamka hivyo swali
papa ni nani hadi aingilie mamlaka ya Mungu kumhukumu mtu?

ni mahala gani katika maandiko Mungu alijitangaza kuwa katolik ndo dhehebu lake?

je papa naye ana kiti chake cha hukumu ?

kuwa kanisa baba/mama mbele za Mungu si kitu cha kushikamana nacho soma habari ya Ibrahimu alibalikiwa sana na Mungu lakini baba yake hakupata hiyo neema pia
katika uongozi papa/maaskofu /mapadre hawa jukumu lao ni la kichungaji=kuwalisha kondoo neno la Mungu wasipoete ingekua hivyo mtume Petro basi asingeendelea kuhubiri injili kisa alitangazwa kuwa yeye ni mwamba na Kristo

Pia wana JF msipende kushadadia mambo without critical thinking and the reality of matter ni dhahiri kabisa uko nyumba za malezi kuna some issue za uonevu sana ukitaka kujua uliza watu waliosoma minor, junior and major seminary watakwambia

mshana jr na uchawi wako nmekushanga katika thread hii ku-comment uhalo mtupu while you have an opportunity to ask the threader so many questions

Finally wakatolik someni NENO LA MUNGU ambalo ni kweli ya Kristo nalo litawaweka huru, usinywe yale tu asemayo padre/askofu/papa ukajua ndo sahihi kwako Roho Mtakatifu humfunulia kila mtu kwa viwango tofautitofauti ndo maana kuna karama za Roho Mtakatifu
 
Aisee nilifikiria ni KISANDU huyu mtangazaji wa Coconut Fm Zanzibar kwenye Kipindi cha Michezo cha Coco Sport

Haya endeleeni,wakuu samahanini
 
Unaonekana ulitoka kwa uchungu, ndio maisha na pengine Mungu ana mpango mkubwa zaidi na wewe. Acha kulalamika, acha kumlaumu mtu, mshukuru Mungu kwani anajua anataka kufanya nini na wewe
 
Lipumba alipojitoa cuf alitangazia uma, dr slaa nae, sumaye n.k. Sasa kujitoa kwenye dini/dhehebu nayo inahitaji matangazo? Shiiiiit!!!
 
We kweli nawe mgonjwa yani hatusomi kitabu tulichoki assemble wenyewe? Au unataka kukariri mistari unayoitaka kama kasuku? Tunaijua Tena sana kuliko mprotestanti yeyote atakayewahi na aliyewahi kutokea ulimwenguni, nkitaka nijaribu Mimi hapa.
 
Unawataka wakatolliki wasome Biblia. Wewe mwenyewe huijui. Tatizo lako ni ujinga. Soma biblia kwa makini ili usije jikuta umechanganyikiwa. Biblia siyo sawa na hadithi za Abunuwasi.
 
Anatafuta wafuasi wa kwenda kuanzisha kanisa lake kupitia jamiiforum.
 

Ulitakiwa ufanye uamuzi ukiwa na moyo usio na kinyongo ili uwe na uamuzi huru na siyo kutokana na makovu ya utawani. Kwa baadaye, utajisikia vibaya na utajuta kwa nini uliacha.
 
Mantiki ya hii topic ni nini kwa anayeelewa??
Ninavyojua jua mimi waumini wengi wa madhehebu madogo wametokana na madhehebu yale makubwa. Honestly, sijaelewa issue hapo nini..
amekonfyuzi. sijui anamkomoa nani? Alidhani RC ni sawa na makanisa ya uamsho!
 
Fika salama uendako, nadhani mahali sahihi pa wewe kuabudu ni kwa Kibwetere, subiri huko alipo anasoma waraka wako atakuita nawe utaitika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…