Tetesi: Kisandu ni kweli kajiengua Kanisa Katoliki

Tetesi: Kisandu ni kweli kajiengua Kanisa Katoliki

mshan jr;
Umemwona wapi hapa?? Jamaa kajitoa kwa makeke hataki kuyafanya mambo kwa siri ka sisi wengine. By the way, who is Kisandu? Ana nini hadi kutangazia Katoliki kuwa wasimfuate fuate?? Kwani yeye ndo wa kwanza kuuacha Ukatoliki??
Aelewe kuwa Papa Pius wa X alisema katika mtaguso mkuu kuwa, mtu yeyote atakaye uasi Ukatoliki, akifa ni motoni milele hivyo Kisandu jiandae kabisa kwenda motoni. Tuulize tulioukulia huo Ukatoliki
Hawa watu kama yeye ni type za kibwetere
 
I know this guy, he is currently mentally retarded. So take it easy. Kama kweli angekua alifika level ya utawa angeshajua kwamba dini haina mchango wowote kwenye destiny za wanadamu. Dini ni taasisi Kama taasisi zingine, Mfano vyama vya siasa. Lakini hata kama simfahamu anaonekana mshamba tu au mjinga fulani coz anaonekana kubabaishwa Sana na mambo ya kidunia na hana uelewa wowote kuhusu dini. Mungu hana dini wala dhehebu, muhimu tabia Mungu yupo na anatusaidia na watendee wenzako mambo ambayo na wewe ungependa utendewe.
 
Kujiondoa kwenye imani yoyote ya dini haiitaji kiapo. Haiitaji kutangaza wala kumtaarifu kiongozi mkuu wa kiroho. Hii uwa inatokea kwa watu wanaoteseka roho na kuingia stage ya kurukwa na akili. Uchizi uanza ivo. This might mark the beggining of your end!
 
Mungu akusaidie katoliki ndio mama wa madhehebu yote ni kama serikali ya dunia tuu.
Ungejitoa kimyakimya alafu wakatolik mapadre ni wasomi baraa sio watu waku resit it seems u ur not okay.
Think big mimi mwenyewe nimekulia huko katolik jpo sipo huko lkn nawakubari kwa mambo yao makubwa ya kijamii.
 
Ulijiunga ukiwa ujabatizwa still ukataka uende haraka ktk hatua za Kanisa, kwa maelezo yote haya inaonesha una tatizo linakusumbua usipo lishughulikia mapema utachanganyikiwa maana Kama hukufanikiwa kuwa mtawa na unasema kanisa limekukana ?? Ukiwa mtumishi wa kanisani unataka utambuliwe kma nani tena ktk maisha yako ya sasa ?? Unataka Kanisa likusaidie ktk siasa ??
To Kisandu
Sasa hivi anataka kuwa rais
 
Papa ndio nani hadi ahukumu wengine kwenda motoni, kichenchede wewe

Granta;
Nikizungumza na Mkatoliki ataelewa nlichokiandika ila nkizungumza na wakanadini ka weye hutaelewa lolote. Hivyo kwa ushauri wangu, piga kimya, acha wajuzi wa mambo waseme
 
Chumvi ikiisha haribika, itatiwa nini ikolee? Haifai tena kabisa, ila kutupwa na kukanyagwa na watu. Nimekumbuka haka ka wimbo miaka hiyo...
 
Naamini mimi nina sababu za kukushtaki zaidi ya hizi zako ulizoziweka hapa maana umenipotezea muda wangu kusoma bandiko lako reefu pasi'nakukuta popote ulipokatazwa iwe na Kanisa Katoliki ulilolituhumu au hata na familia yako kuhusu kusudio lako...ikiwezekana naomba utuambie wewe una impact gani ndani ya Kanisa Katoliki na Taifa kwa ujumla,otherwise ntakuona unatafuta kick tu humu.
 
Wengine kwa fitna za huyo pengooo tuliachishwa upadre leo tupo tena tunafurahi kwa kuukosa, iwe uburuda. Chaaa! ote naiyo, na ufilie mbali huo ukaatoliki
Kufa ukatoliki ni ndoto za alinacha! Kama watu hamkukidhi vigezo vya Kuwa watawa mlitaka mbebwe tu!
 
Kufa ukatoliki ni ndoto za alinacha! Kama watu hamkukidhi vigezo vya Kuwa watawa mlitaka mbebwe tu!

Mkuu;
Ni rahisi sana kujiona salama ukiwa upande wa pili wa mto bla kujua kuwa waweza rudi huku. Sijakuambia kuwa ni kigezo gani nilipunguka ila elewa ni fitna. Kardinali Rugambwa R.I.P alinielewa vizuri tu, lakini sikuitaka chokochoko
 
Back
Top Bottom