Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Sikumbuki ilikuwa ni mechi baina ya Simba na timu ipi, ila nachokumbuka ni katika mechi ya msimu huu ambapo kuna mchezaji alinawa mpira kizembe dakika za jioni na kuwapa Simba penati iliyowafanya watoke na alama 3 na kuzua mjadala.
Kama sio kuunawa mpira, basi alisababisha penati ya kizembe dakika za mwisho kabisa na Simba wakafaidika
Mpaka hapa kisasi kimelipwa.
Ukicheka, ujue na kulia
Kama sio kuunawa mpira, basi alisababisha penati ya kizembe dakika za mwisho kabisa na Simba wakafaidika
Mpaka hapa kisasi kimelipwa.
Ukicheka, ujue na kulia