Kisha Kuhani Mkuu akamtetea Bashite akisema...

Ikawa baada Ya kufa kwake bashite wana wa dar es salaam wakamuuliza mungu wa inchi yao wakisema ni nani atayekwea Kwanza kwa ajili yetu juu ya walanguzi wa dawa za kulevya ili kupigana nao? - 1 Bashite 2:6
 
Baas wanafunzi wake wakamfuata na kumuuliza: ee baba, mbona hatukuwaacha waliotukuka kama huyu mwanao wakati wa uhakiki? Naye akajibu, amin nawaambia, sijaja kutafuta mchumba.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hizi ni laana
 
Bulai nghukogoha nisani injelu
 
Hata kuhani Mkuu alipomfanya mwanawe awe na maamuzi ya juu ya Nchi ya Makinikia, Na jina la mwanawe mzaliwa wa kwanza aliitwa Daudi na jina Pili aliitwa Bashite, walikuwa na maamuzi katika wadanganyika(Watumishi Hewa 23:12)
 
Na akawapa vipande vya shekeli akisema eenendeni mkawanunue wote kule sinoni mpaka daraja mbili , huku akiwaambia hakuna hata mmoja wao atakayewasumbua sababu nipo kwa ajili yenu!
Teh teh teh umetisha mkuu.
 
Siasa walizokuwa wanataka mwigamba na kitila zifanyike ACT za kijinga mno , eti za kuishambulia chadema
 
Kisha mfalme akawajibu, "yule aliye kilaza kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkuu kuliko wote, muigeni yeye" kuwashwa ( 9:13 -21 )
[emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu umetisha mbaya
 
Ile kauli ya eti dunia siyo ya Mungu imeniacha hoi,
Nimejiuliza mengi sana
Hiyo kitu kimeniacha hoi kutoka siku hiyo sijanyoa nywele za chini, hadi nipate jibu, hata km ni miaka kumi
 
mkikaa sawa.. tunaweza toa dini apa miaka 3027 uko.. mko vizuri wakuu! nimecheka sana..
 
Wana wa makinikia wakamililia Mungu juu ya mateso waliyopewa na mfalme wao, ndipo neno la BWANA nikamjia antipas, liwali wa mji wa ukanda wa kati katika nchi ya wamakanikia , kwamba aende akahubiri habari za dhuluma, rushwa, uhuru na haki za watu kufanya makutano,.
 
ndipo mtukufu akauliza nimtume nani dar es salaam akaokoe wana kondoo wangu wanao angamia kwa madawa,
ndipo mwanawe mpendwa akasema nitume mimi baba,
ndipo mwana wa mtukufu akashuka kutoka kwenye kiti cha enzi na kuja dar,

Na baada ya kushindwa kuokoa wanakondoo wa mtukufu akasikika akisema "BABA IKIKUPENDEZA NA KIKOMBE HIKI KINIEPUKE"

ndipo mtukufu akamtoa mwanawe mpendwa katikati ya wagalatia na kumpa mtu mwingine aubebe ule msalaba
waraka wa MANJIno 3:20-28
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…