Kisha Kuhani Mkuu akamtetea Bashite akisema...

Kisha Kuhani Mkuu akamtetea Bashite akisema...

Daaaaaadekiiii Jf kweli tunapambana na Hali zetu ,ka utani nyuzi inazidi kutiririka tu
 
"Basi Bwana yule na akawaagiza vijakazi wengine kuiga kwa nyapara mkuu wa mji ule unaosadikika"

Waraka wa 2 wa Joni kwa Bashite
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kisha mfalme akawajibu, "yule aliye kilaza kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkuu kuliko wote, muigeni yeye" kuwashwa ( 9:13 -21 )
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
d57112f04b85488b8f7dd665b836aa3e.jpg
 
Akishakuyasema hayo akawageukia wana Lumumba na kusema...

Ni nani kati yenu ambaye hana cheti feki awe wa kwanza kuachia ngazi...

Lumumba 56:5-15
 
Baas wanafunzi wake wakamfuata na kumuuliza: ee baba, mbona hatukuwaacha waliotukuka kama huyu mwanao wakati wa uhakiki? Naye akajibu, amin nawaambia, sijaja kutafuta mchumba.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hata muda wake ulipokwisha, kuhani mkuu akajinadi kwa wanafunzi wake.Je hamuoni ni vema mkanipigia kura tena! Nao wakajibu huku wakitazama chini, kwa kuwa hukuja kutafuta mchumba basi ya mkeo kura yatosha.
Walifadhaika mioyoni; walitamani wamuulize kama yeye ni yule aliyetabiriwa, au tumsubiri mwingine. Lakini wakafunguliwa, Tazama! Jibu walishalipata.
 
Kisha mfalme akawajibu, "yule aliye kilaza kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkuu kuliko wote, muigeni yeye" kuwashwa ( 9:13 -21 )
[emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51] Jf ni kisima cha burudani.
 
Lumumba 3: 1 - 2 Enyi wananchi ya makinikia ni nani aliyewaroga ... nataka kuwafundisha kwamba vyeti feki wanatumbuliwa wale ambao hawapigani vita dhidi ya madawa ya kulevya [emoji23] [emoji23] [emoji38]
 
Back
Top Bottom