Kisha Kuhani Mkuu akamtetea Bashite akisema...

Kisha Kuhani Mkuu akamtetea Bashite akisema...

Baas wanafunzi wake wakamfuata na kumuuliza: ee baba, mbona hatukuwaacha waliotukuka kama huyu mwanao wakati wa uhakiki? Naye akajibu, amin nawaambia, sijaja kutafuta mchumba.
Waraka wa kwanza wa mtume pombe kwa wagerasi. 2Wapowa 6:12
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ngoja niagize Mountain Dew nijipooze koo
 
Kisha mfalme akawajibu, "yule aliye kilaza kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkuu kuliko wote, muigeni yeye" kuwashwa ( 9:13 -21 )

Ndipo yule kilaza kuliko wote akasimama mbele ya makutano na kupaza kilio chake, uishi milele eee Mfalme maana dunia ni mali yangu mimi na wewe. Hivyo basi eee mfalme ikikupendeza, nakusihi usiwasikilize hawa mashetani wakaao humu duniani. Kujipendekeza 7. 7-9
 
Baas wanafunzi wake wakamfuata na kumuuliza: ee baba, mbona hatukuwaacha waliotukuka kama huyu mwanao wakati wa uhakiki? Naye akajibu, amin nawaambia, sijaja kutafuta mchumba.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Baas wanafunzi wake wakamfuata na kumuuliza: ee baba, mbona hatukuwaacha waliotukuka kama huyu mwanao wakati wa uhakiki? Naye akajibu, amin nawaambia, sijaja kutafuta mchumba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Baas wanafunzi wake wakamfuata na kumuuliza: ee baba, mbona hatukuwaacha waliotukuka kama huyu mwanao wakati wa uhakiki? Naye akajibu, amin nawaambia, sijaja kutafuta mchumba.
Hata muda wake ulipokwisha, kuhani mkuu akajinadi kwa wanafunzi wake.Je hamuoni ni vema mkanipigia kura tena! Nao wakajibu huku wakitazama chini, kwa kuwa hukuja kutafuta mchumba basi ya mkeo kura yatosha.
 
Kuhani Mkuu akatabasamu kwa majivuno na dharau huku akijipiga piga kifua na kusema mimi ndiye Kuhani Mkuu hakuna wa kuniingilia kwenye maamuzi yangu kama yupo na athubutu aone kilichomtoa kanga manyoya 🙂🙂
 
Back
Top Bottom