Kisha Kuhani Mkuu akamtetea Bashite akisema...

Kisha Kuhani Mkuu akamtetea Bashite akisema...

Baas wanafunzi wake wakamfuata na kumuuliza: ee baba, mbona hatukuwaacha waliotukuka kama huyu mwanao wakati wa uhakiki? Naye akajibu, amin nawaambia, sijaja kutafuta mchumba.
[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2]
 
Uu huzi unaenda page ya 3 hila mrs makonda cocochanel ajaonekana mkulu kayamwaga maji [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
NDIPO WANAFUNZI WAKE WAKAMWULIZA, MWALIMU, MBONA WALE MANESI WALIOFOJI WAMETUMBULIWA NA KAZI WALIFANYA VIZURI, HUONI KWAMBA ITALETA CHUKI.
MWALIMU AKAJIBU, AMINI NAWAAMBIA, HATA WASIPONIPENDA HAITANIPA SHDA, NIKIPENDWA NA MKE WANGU INATOSHA. MSISHNDANE NA JIWE.
 
Ndipo kuhani mkuu akapaza sauti yake na kusema huyu ndiye mwanangu mpendwa nipendezwaye naye, basi msikilizeni yeye! Alat 3: 10-12
Kuhani mkuu ametuma njiwa...
 
Basi bwana akaenda madhabahuni,wanafunzi wake wakimwambia,bwana tunanjaa,bwana akatabasamu kisha akawaambia "kila mtu apambane na hali yake"wanafunzi wakamuuliza.bwana!unamaana gani?bwana akajibu.........
.
 
c823b52ecf665379fcf7a9275ab01a20.jpg
 
Ile kauli ya eti dunia siyo ya Mungu imeniacha hoi,
Nimejiuliza mengi sana
 
"Enyi wana wa nchi ya makinikia,sitamuondoa mkuu wa mji wa bandari salama hata kama haijui 'a',yeye ni mmoja wao wachapakazi na wengine waige mfano wake.Baada ya kusema hayo Bashite akatabasamu na kujipiga piga kifuani akisema;na uhimidiwe kuhani mkuu,kwa maana itaandikwa ukae miaka 7 au zaidi ikikupendeza."
[waraka wa Polepole kwa wanalumumba 2:2-9]
hahhahahahahahahahhhahah
 
Back
Top Bottom