Kisheria Halima Mdee na wenzake wamepoteza ubunge baada ya kukata Rufaa Chadema badala ya kwenda mahakamani!

Kisheria Halima Mdee na wenzake wamepoteza ubunge baada ya kukata Rufaa Chadema badala ya kwenda mahakamani!

Usichanganye madesa bwashee.

Prof Lipumba hakufukuzwa na kikao chochote bali alijiuzulu uenyekiti na baadae alirejea kwa sababu hakukuwa na kikao kilichoketi na kuapprove kujiuzulu kwake.

Halima Mdee na wenzake wamefukuzwa uanachama na kikao halali cha kamati kuu na wanachokifanya sasa ni kutaka Baraza kuu liwarejeshe Chadema.
Kwani Zitto Kabwe hakufukuzwaga? ubunge alitimuliwa?
 
Mfalme anafikiri wenzake waliomtangulia walikuwa wajinga (pale walipouma na kupuliza baada ya kushindwa) na yeye anajiona mjanja kwa kutangaza zero (0) upinzani nchi nzima. Nakuhakikishia iko siku hawa walioshiriki uchafuzi watajivua na kumvua nguo atakapokuwa na zero (0) power!
 
Boss hakunaga kitu inaitwa mzee Mgaya, huyu johnthebaptist amekuwa akileta mawazo yake kwa jina la mzee Mgaya. Ni mshenz.i! Anyway, lakini anajitahidi kuwasilisha kama thirdy party ingawa ni yeye huyo huyo!
Hahahaaaa.....nimecheka sana!

Daudi Mchambuzi amewahi kuchukua mkopo kwa mzee Mgaya bwashee.
 
Mzee Mgaya anasema kitendo cha Halima Mdee na wenzake kukata rufaa Baraza kuu la Chadema kinaashiria kuwa kwa sasa wao siyo wanachama wa Chadema na hivyo wanaiomba kamati kuu iwarejeshee uanachama wao. Na kwa mujibu wa sheria mbunge ni lazima awe mwanachama wa chama cha siasa.

Mgaya anasisitiza kuwa mahali sahihi walipostahili kukimbilia akina Bulaya ni mahakamani ambako wangesimamisha maamuzi ya kamati kuu ya Chadema.

Mimi sijamuelewa mzee Mgaya aliyemwelewa ufafanuzi Tafadhali.

Hapa tupo kisheria siyo kiitikadi.

Maendeleo hayana vyama!
Rufaa ziko mbili boss ya mahakamani tayari
 
Back
Top Bottom