Kwani Zitto Kabwe hakufukuzwaga? ubunge alitimuliwa?Usichanganye madesa bwashee.
Prof Lipumba hakufukuzwa na kikao chochote bali alijiuzulu uenyekiti na baadae alirejea kwa sababu hakukuwa na kikao kilichoketi na kuapprove kujiuzulu kwake.
Halima Mdee na wenzake wamefukuzwa uanachama na kikao halali cha kamati kuu na wanachokifanya sasa ni kutaka Baraza kuu liwarejeshe Chadema.
Ngoja tuone!Bado ni wabunge kwani Chadema bado haijapeleka taarifa NEC na Nec haijamtaarifu Spika.
Kinachoendelea bado ni mchakato wa ndani.
C/o ChademaKwahiyo Bwashee 2015 kule Ndanda aligombea kwa Tiketi ya CCM?
Boss hakunaga kitu inaitwa mzee Mgaya, huyu johnthebaptist amekuwa akileta mawazo yake kwa jina la mzee Mgaya.! Anyway, lakini anajitahidi kuwasilisha kama thirdy party ingawa ni yeye huyo huyo!Why huu upuuzi WA Mzee mgaya lazima mlete humu??
Kila mtu aki comment kitu mnakianzishia uzi??
Hahahaaaa.....nimecheka sana!Boss hakunaga kitu inaitwa mzee Mgaya, huyu johnthebaptist amekuwa akileta mawazo yake kwa jina la mzee Mgaya. Ni mshenz.i! Anyway, lakini anajitahidi kuwasilisha kama thirdy party ingawa ni yeye huyo huyo!
Rufaa ziko mbili boss ya mahakamani tayariMzee Mgaya anasema kitendo cha Halima Mdee na wenzake kukata rufaa Baraza kuu la Chadema kinaashiria kuwa kwa sasa wao siyo wanachama wa Chadema na hivyo wanaiomba kamati kuu iwarejeshee uanachama wao. Na kwa mujibu wa sheria mbunge ni lazima awe mwanachama wa chama cha siasa.
Mgaya anasisitiza kuwa mahali sahihi walipostahili kukimbilia akina Bulaya ni mahakamani ambako wangesimamisha maamuzi ya kamati kuu ya Chadema.
Mimi sijamuelewa mzee Mgaya aliyemwelewa ufafanuzi Tafadhali.
Hapa tupo kisheria siyo kiitikadi.
Maendeleo hayana vyama!