KASULI
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 599
- 677
Katika mizunguko ya dunia, Rafiki yangu alileta mwanamke kwake (mpenzi) si unajua mambo ya Vijana tena.
Sasa kwa maelezo yake ni kwamba huyo mwanamke ambaye wamefahamiana kama miezi minne hivi na amekuwa akija kwake mara kwa mara kutoka mkoani Geita yeye (jamaa) yuko Mwanza.
Sasa basi huyu msichana alienda kwao siku moja akarudi kwamba kafukuzwa na ameng'ang'ania kuwa hatoondoka labda amuue. Na Jamaa anadai hakuwahi kuwa malengo yake (Lengo lilikuwa kuchakata Mbususu) japo alikuwa anampoza kuwa atamuoa.
Hapa kuna mambo mawili.
1. Kisheria hili jambo limekaaje? Kuna hatua anaweza kuzifanya ili kumuondoa huyu mwanamke?
2. Ni kitu gani akifanye ilii kumtoa huyu mwanamke?
Binafsi nimemshauri amwambie ukweli kuwa hamtaki sasa uchaguzi ni wake abaki au aendelee kubaki.
NB. Toka arudi week moja sasa jamaa kila mtu anaishi kivyake umo ndani.
Zingatia: Sio mwanafunzi wala hana mimba.
Sasa kwa maelezo yake ni kwamba huyo mwanamke ambaye wamefahamiana kama miezi minne hivi na amekuwa akija kwake mara kwa mara kutoka mkoani Geita yeye (jamaa) yuko Mwanza.
Sasa basi huyu msichana alienda kwao siku moja akarudi kwamba kafukuzwa na ameng'ang'ania kuwa hatoondoka labda amuue. Na Jamaa anadai hakuwahi kuwa malengo yake (Lengo lilikuwa kuchakata Mbususu) japo alikuwa anampoza kuwa atamuoa.
Hapa kuna mambo mawili.
1. Kisheria hili jambo limekaaje? Kuna hatua anaweza kuzifanya ili kumuondoa huyu mwanamke?
2. Ni kitu gani akifanye ilii kumtoa huyu mwanamke?
Binafsi nimemshauri amwambie ukweli kuwa hamtaki sasa uchaguzi ni wake abaki au aendelee kubaki.
NB. Toka arudi week moja sasa jamaa kila mtu anaishi kivyake umo ndani.
Zingatia: Sio mwanafunzi wala hana mimba.