Kisheria hili jambo la mwanamke kung'ang'ania ndani limekaaje?

Ilikuwa Pisi ya kithungu au mbantu wa mbele
 
umesema kuimport maana yake nini??
 
Mwanamke huyo asiondoke.
Kuna mkataba wa kimaandishi na kutamka maneno.
Buyo jamaa alimtakia kuwa atamuoa...binti aliamini ndio maana alimvulia chupi.
Binti asiondoke
 
Unafikiri mademu wote tunao wachakata mbususu , tunawapenda?
 
mbona mnajitaftia matatizo? kwann uishi na mtu kwa kumdanganya kuwa utamuoa au kuolewa nae?
 
umesema kuimport maana yake nini??
Bringing into the country ie TZ goods from a foreign country.
Legally in customs, East African countries are not foreign countries but partner states

Usipate shida, mimi nililitafsiri Kisheria kwasababu na yeye alilileta kwa muktadha wa Kisheria kabla hajabadili title ya thread yake.
Sasa Kisheria import lazima customs department ihusike,na ndio wenye tafsiri hiyo ya import
 
Basi twende kwenye hoja hili limekaajee
 

Bila shaka ni Mozambique [emoji1174] mkuu [emoji28]pole sana hapo itakuwa ni Beira ama Nacala [emoji28][emoji28]
 
wa custom naomba nisaidie eti Tz kuingiza Whiskey, wine na perfume etc for home consumption unaweza ingiza kiasi gani? Kutokana na sheria zetu za customs
 
😂 Abdallah nan!
 
Kuingiza ukiwa umebeba kama kamzigo kako au uagize zije kama cargo?
 
Sheria inasema mtu ukiishi nae miezi 3 ni mke wako. Sasa wewe umeishi nae miezi 4 alafu unataka aondoke?
 
Hii ni kamba. Mwanzoni umesema lugha zilikuwa hazipandi, lakini punde mmeweza kuwasiliana hata na mama mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…