Kisheria hili jambo la mwanamke kung'ang'ania ndani limekaaje?

Amfukuze tu, mwenyekiti mtaa, polisi nk
Kirahisi hivyo,unaongea ww,kauli zinaumba na ndio maana kijana unapswa kuwa makini sana unapotongoza, neno "nitakuoa" lisitoke kinywani kwako kabisa kama huna lengo hilo kweli
 
K
Kwa wingi wa mbususu zilizopo.mitaani , hakuna haja tena ya kuanza kumuongopea mtoto wa mtu na kumjaza matumaini hewa .
Swaga za kuongopea ndoa ili upate mzigo, zimepitwa na wakati. Just be straight kuwa unataka game tu no strings attached , utampata wa ku click matakwa yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…