Ahahaha 🤣 🤣 🤣Kaahidi aingiliwe kinyume na maumbile na wanaume 20
Ndio Ile usemi ' Alieuza Almasi feki kalipwa fedha ya bandia. Ngoma droo😂Huo sio mkataba na hautekelezeki kisheria.
Ni sawa na mtapeliane kwenye biashara ya madawa ya kulevya. Huwezi kwenda polisi wala kumpeleka mtu mahakamani.
Kwanza Serikali Ilipiga Marukufu Ahadi Za MkeHuo sio mkataba na hautekelezeki kisheria.
Ni sawa na mtapeliane kwenye biashara ya madawa ya kulevya. Huwezi kwenda polisi wala kumpeleka mtu mahakamani.
Kwani Mwabukusi aliishaitisha maandamano kupinga kuhusu kutoa ahadi? Madeleka je?Leo match kati ya Simba na Yanga
Watu wamekuwa wakitoa ahadi mbalimbali ambazo Kwa sheria zetu ni kinyume kufanya lakini wengine wameahidi Kwa maandishi na wamesaini kabisa
Mfano Mwijaki ameahidi Yanga akimfunga Simba basi mke wake ni halali yetu wanayanga
Mwingine ameahidi akatwe kende.
Mwingine anyolewe,
Mwingine nyumba yake ichomwe moto.
Me nauliza tu kisheria ni halali kuteleza ahadi hizi hata kama zinawaumiza walioahidi?
Wameahidi Kwa maandishi kabisa
Huo ni kama mkataba kati ya watu wawili. Ili mkataba uwew na nguvu za kisheria ni lazima usajiliwe mahakamani au kwa wakili. Ili mahakama au wakili aweze kusajili mkataba/makubaliano ni lazime mkataba huo usiwe unavunja sheria yoyote ya nchi!! Kwa hiyo haiwezekani makubaliano hayo uliyoyataja yanaweza kusajiliwa maana ni batili kwa sababu yana ladha ya jinai. Ukiyatekeleza kinguvu ujiandae kukumbana na mkono wa sheria/Leo match kati ya Simba na Yanga
Watu wamekuwa wakitoa ahadi mbalimbali ambazo Kwa sheria zetu ni kinyume kufanya lakini wengine wameahidi Kwa maandishi na wamesaini kabisa
Mfano Mwijaki ameahidi Yanga akimfunga Simba basi mke wake ni halali yetu wanayanga
Mwingine ameahidi akatwe kende.
Mwingine anyolewe,
Mwingine nyumba yake ichomwe moto.
Me nauliza tu kisheria ni halali kuteleza ahadi hizi hata kama zinawaumiza walioahidi?
Wameahidi Kwa maandishi kabisa
Asante sana Kwa elimu nzuri mkuuHuo ni kama mkataba kati ya watu wawili. Ili mkataba uwew na nguvu za kisheria ni lazima usajiliwe mahakamani au kwa wakili. Ili mahakama au wakili aweze kusajili mkataba/makubaliano ni lazime mkataba huo usiwe unavunja sheria yoyote ya nchi!! Kwa hiyo haiwezekani makubaliano hayo uliyoyataja yanaweza kusajiliwa maana ni batili kwa sababu yana ladha ya jinai. Ukiyatekeleza kinguvu ujiandae kukumbana na mkono wa sheria/
AiseeNani achukue mkewe ajibebee kaswende?
Kakupotosha huo ni mkataba halali kisheria .Asante Kwa elimu
Kwa kifupi mkataba wowote wenye vitendo /kitendo cha kuvunja sheria za nchi ni VOID, yaani siyo mkataba halali. Kuna vipengere lazima vitimizwe au kuangaliwa ili mkataba uwe halali.Leo match kati ya Simba na Yanga
Watu wamekuwa wakitoa ahadi mbalimbali ambazo Kwa sheria zetu ni kinyume kufanya lakini wengine wameahidi Kwa maandishi na wamesaini kabisa
Mfano Mwijaki ameahidi Yanga akimfunga Simba basi mke wake ni halali yetu wanayanga
Mwingine ameahidi akatwe kende.
Mwingine anyolewe,
Mwingine nyumba yake ichomwe moto.
Me nauliza tu kisheria ni halali kuteleza ahadi hizi hata kama zinawaumiza walioahidi?
Wameahidi Kwa maandishi kabisa
Vipi kuhusu mke kumuweka rehani mumewe, serikali imesema chochote?Kwanza Serikali Ilipiga Marukufu Ahadi Za Mke
Maana Inatweza Utu Wa WanawAke Na Kufanya Aonekane Hana Thamani