Kisheria ikoje ikiwa mtu ataahidi kufanyiwa kitu kubaya Kwa hiari yake

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Leo match kati ya Simba na Yanga
Watu wamekuwa wakitoa ahadi mbalimbali ambazo Kwa sheria zetu ni kinyume kufanya lakini wengine wameahidi Kwa maandishi na wamesaini kabisa
Mfano Mwijaki ameahidi Yanga akimfunga Simba basi mke wake ni halali yetu wanayanga
Mwingine ameahidi akatwe kende.
Mwingine anyolewe,
Mwingine nyumba yake ichomwe moto.
Me nauliza tu kisheria ni halali kuteleza ahadi hizi hata kama zinawaumiza walioahidi?
Wameahidi Kwa maandishi kabisa
 
Huo sio mkataba na hautekelezeki kisheria.

Ni sawa na mtapeliane kwenye biashara ya madawa ya kulevya. Huwezi kwenda polisi wala kumpeleka mtu mahakamani.
Kwanza Serikali Ilipiga Marukufu Ahadi Za Mke
Maana Inatweza Utu Wa WanawAke Na Kufanya Aonekane Hana Thamani
 
Kwani Mwabukusi aliishaitisha maandamano kupinga kuhusu kutoa ahadi? Madeleka je?
 
Huo ni kama mkataba kati ya watu wawili. Ili mkataba uwew na nguvu za kisheria ni lazima usajiliwe mahakamani au kwa wakili. Ili mahakama au wakili aweze kusajili mkataba/makubaliano ni lazime mkataba huo usiwe unavunja sheria yoyote ya nchi!! Kwa hiyo haiwezekani makubaliano hayo uliyoyataja yanaweza kusajiliwa maana ni batili kwa sababu yana ladha ya jinai. Ukiyatekeleza kinguvu ujiandae kukumbana na mkono wa sheria/
 
Asante sana Kwa elimu nzuri mkuu
 
Kuna kampuni kibao zilipelekwa mahakaman kisa matangazo yao na wakalipa pesa ndefu .mfano redbul na tangazo la wings
 
Kwa kifupi mkataba wowote wenye vitendo /kitendo cha kuvunja sheria za nchi ni VOID, yaani siyo mkataba halali. Kuna vipengere lazima vitimizwe au kuangaliwa ili mkataba uwe halali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…