Kisheria ikoje ikiwa mtu ataahidi kufanyiwa kitu kubaya Kwa hiari yake

Kisheria ikoje ikiwa mtu ataahidi kufanyiwa kitu kubaya Kwa hiari yake

Jiridhishe kwanza kufuatilia wengi wa wanaotoa hizo ahadi! Bila shaka utakuja kugundua wana matatizo ya akili.
 
Leo match kati ya Simba na Yanga
Watu wamekuwa wakitoa ahadi mbalimbali ambazo Kwa sheria zetu ni kinyume kufanya lakini wengine wameahidi Kwa maandishi na wamesaini kabisa
Mfano Mwijaki ameahidi Yanga akimfunga Simba basi mke wake ni halali yetu wanayanga
Mwingine ameahidi akatwe kende.
Mwingine anyolewe,
Mwingine nyumba yake ichomwe moto.
Me nauliza tu kisheria ni halali kuteleza ahadi hizi hata kama zinawaumiza walioahidi?
Wameahidi Kwa maandishi kabisa
Kufanya kitendo chochote kinyume na sheria ni kosa hata kama umepewa ruhusa na uliemfanyia hicho kitendo.
 
Nampataje Mwaijaku anipe mkewe Mimi mwanachama wa Yanga
 
Leo match kati ya Simba na Yanga
Watu wamekuwa wakitoa ahadi mbalimbali ambazo Kwa sheria zetu ni kinyume kufanya lakini wengine wameahidi Kwa maandishi na wamesaini kabisa
Mfano Mwijaki ameahidi Yanga akimfunga Simba basi mke wake ni halali yetu wanayanga
Mwingine ameahidi akatwe kende.
Mwingine anyolewe,
Mwingine nyumba yake ichomwe moto.
Me nauliza tu kisheria ni halali kuteleza ahadi hizi hata kama zinawaumiza walioahidi?
Wameahidi Kwa maandishi kabisa
Sheria haitambui upuuzi huo.Sheria imeainisha mambo yanayoweza kufanya makubaliano kuwa enfoceable.Kasomesheria ya mikataba kifungu cha kwanza (a) hadi (f).
 
Back
Top Bottom