Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni non stop kampeni mpaka 2025, picha nzuri sana ila hatutaiona kwenye tv zile na zile zingine nyoga pamoja na magazeti maoga. Ni mtanzania astahiliye heshima kama kiongozi mkuu wa upinzani, apokewe tu kwa heshima zote
huyu anakubalika na watanzania wote walichoshwa na sera chakavu za chama cha kijaniHuyu Mtu ni Mpango wa Mungu- Zuio la Polisi limeishia wapi sasa, na kuhutubia anahutubia tu bila ajizi... Serikali, muacheni huyu Mpakwa mafuta aendelee kuwaelimisha watanzania... ajabu had Wamasai nao wanamkubari.. ni mpango wa Mungu tu.
Swali | Je kwanini Serikali inamhofia sana mtu huyu?Huyu Mtu ni Mpango wa Mungu- Zuio la Polisi limeishia wapi sasa, na kuhutubia anahutubia tu bila ajizi... Serikali, muacheni huyu Mpakwa mafuta aendelee kuwaelimisha watanzania... ajabu had Wamasai nao wanamkubari.. ni mpango wa Mungu tu.
Inashangaza kwa kweli !Ila Kitenge sijui kaahidiwa nini na wanaomtuma.
Inaonekana alitoka saa 12 alfajiri kupiga hii picha ili kuwa delude wafuasi wake.
View attachment 2743322
Bila Picha futa hii hatuwezi kujadili hisia zako.
Bila Picha futa hii hatuwezi kujadili hisia zako.