Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PeopleeeeeeeesKwa kweli Lissu anapendwa kwa dhati na watu. Musoma waridima kwa vifijo vikuu kumpokea Lissu.
Kwa kweli Lissu anapendwa kwa dhati na watu. Musoma waridima kwa vifijo vikuu kumpokea Lissu.
PawaaaaaaaaaPeopleeeeeeees
POWERPeopleeeeeeees
Na ndio maana kila mara wanarudi kwenye drawing table hawajui wajibujeCCM joto linazidi kupanda!
Hapana,hii picha ilipigwa before Christ (BC).Acha uongo hii ni video ambapo wananchi wa Tanganyika walikuwa wana pokea majeshi ya tanzania kutoka kwny vita ya uganda mwaka 1979,hahahah.
Kwa kweli Lissu anapendwa kwa dhati na watu. Musoma waridima kwa vifijo vikuu kumpokea Lissu.
Wamekata tamaa hao!Leo mataga hela imechelewa kutoka... Wapo kimya.. subiri walipwe utawaona humu
Kwa kweli Lissu anapendwa kwa dhati na watu. Musoma waridima kwa vifijo vikuu kumpokea Lissu.
Sasa drsft lao limerudishwa kwa tume na vyombo vya dola. Kwa sanduku la kura jamaa hatoboi.Na ndio maana kila mara wanarudi kwenye drawing table hawajui wajibuje
Yule hehodaya sijui...analalamika kalipwa hela ya thread kumi tu mwei mzima wakati yeye alihesabu 100 threads...sasa hivi wanazihesabu..heheheWamekata tamaa hao!
Sijui Watu wanasahau kwa haraka sana au pengine wengi walikuwa watoto sana 1995,2010 na 2015
Kwa kweli Lissu anapendwa kwa dhati na watu. Musoma waridima kwa vifijo vikuu kumpokea Lissu.