Kishindo: Yusuph Manji atikisa Mkutano wa Yanga Chang'ombe

Kishindo: Yusuph Manji atikisa Mkutano wa Yanga Chang'ombe

Mpaka Mchakato wao ukae sawa Simba SC tayari Bingwa wa Afrika.

Hata hivyo Kanjibai Manji alikuwepo akaahidi kuifanya Yanga SC kuwa Klabu Bora Afrika, kujenga Uwanja wa Kaunda lakini Vyote Vilibuma.

Kwahivyo hana Maajabu Yaani..[emoji2957]
Kichwa ulichonacho kimebeba ubongo wa nyumbu,bila mbeleko hata kombe la mapinduzi ni ndoto
 
Picha ya Manji ikwapi hapo,naona ya boyz 2 men na za Barakoa kwenye kidevu.
 
Mpaka Mchakato wao ukae sawa Simba SC tayari Bingwa wa Afrika.

Hata hivyo Kanjibai Manji alikuwepo akaahidi kuifanya Yanga SC kuwa Klabu Bora Afrika, kujenga Uwanja wa Kaunda lakini Vyote Vilibuma.

Kwahivyo hana Maajabu Yaani..[emoji2957]
baada ya kuwa terrorized na shetani
 
Kichwa ulichonacho kimebeba ubongo wa nyumbu,bila mbeleko hata kombe la mapinduzi ni ndoto
Wengine nyie Utopolo Nati zimelegea kichwani, sasa wewe Uto una mpira gani mpaka upewe mbeleko? Weka mafanikio ya Kanjibai Manji hapa, acha Wenge.

Endelea kubebwa machela Airport

Period..!
 
Hizi timu za kiswahili hizi? wataendelea kujikomba kwa matajiri hadi lini?

Mbaya zaidi zimeua timu za mikoa, mashirika mbalimbali, pamoja na taasisi za mpira

Ni jambo la kawaida mtu kuhujumu timu ya mkoa wake ili hizi timu mbili ambazo zinaathiri uchumi wa nchi, zinaletea watu uzuzu ws kufikiri.

Utakuta mchezaji kasajiliwa na timu tofauti na hizi lakini utasikia ni mshabiki wa timu hizi

Zimeua michezo tofauti na soka, viwanja vya michezo mingine havipo

Mtoto anazaliwa anakosa alternative ya mchezo hata angekuwa ana kipaji cha volleyball, basket, handbal, tenis, riadha nk hana sehemu ya kujiendeleza kila mtu anayekutana naye ni maneno ya SIMBA,YANGA, MYAMA, UTOPOLO,
Dunia ya sasa mpira bila matajiri utauendesha vipi?
 
Heeeeee kwani si tukikubaliana kuwa huyu jamaa anashikiliwa na takukuru, au ilikuwa ni ubongo wa muvi.
 
Mpaka Mchakato wao ukae sawa Simba SC tayari Bingwa wa Afrika.

Hata hivyo Kanjibai Manji alikuwepo akaahidi kuifanya Yanga SC kuwa Klabu Bora Afrika, kujenga Uwanja wa Kaunda lakini Vyote Vilibuma.

Kwahivyo hana Maajabu Yaani..[emoji2957]
Kwa Afrika labda Simba awe bingwa wa ndondo cup.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Wengine nyie Utopolo Nati zimelegea kichwani, sasa wewe Uto una mpira gani mpaka upewe mbeleko? Weka mafanikio ya Kanjibai Manji hapa, acha Wenge.

Endelea kubebwa machela Airport

Period..!
Mbona watu wa Bunju kama wameumia sana? Ndiyo hivyo msiempenda kaja!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na bila Kanji mwamed, mungelikuwa mshashuka dalaja kabisa. Bisha wapi kawaokota mooo.
Simba nguvu moja, hamkuwahi kutufunga wakati ule hali yetu mbaya huku mkilishwa tambuu za Manji ndio mtatufunga sasa hivi?!
 
Sasa matusi ya nini, mkuu si ndio wameanza, tatizo nini Manji kuwepo au. Huu ni mwanzo tu kwahiyo wasifurahi?
Usijitenge na wenzio, sema tusifurahi? najua mmepata gari la kuosha hongereni.
 
Mpaka Mchakato wao ukae sawa Simba SC tayari Bingwa wa Afrika.

Hata hivyo Kanjibai Manji alikuwepo akaahidi kuifanya Yanga SC kuwa Klabu Bora Afrika, kujenga Uwanja wa Kaunda lakini Vyote Vilibuma.

Kwahivyo hana Maajabu Yaani..[emoji2957]
Hivi ninyi mnaendeshwaje? Na Mo pale ni nani?
 
Uto wanashangilia ujinga wanadhani timu inajengwa kwa msimu mmoja. [emoji23][emoji23][emoji23]
simba ilijengwa kwa misimu mingapi si waliwanunua kina kapmb azam wakajaza wakawa na tim bora mpka leo tim ni msim mmoja tuu
 
Mpaka Mchakato wao ukae sawa Simba SC tayari Bingwa wa Afrika.

Hata hivyo Kanjibai Manji alikuwepo akaahidi kuifanya Yanga SC kuwa Klabu Bora Afrika, kujenga Uwanja wa Kaunda lakini Vyote Vilibuma.

Kwahivyo hana Maajabu Yaani..[emoji2957]
labda bingwa wa africa sana club
 
Back
Top Bottom