Hujawasikia huko mitaani. Kama hujui mashabiki wa Tanzania uliza kwanza huwa hawajui neno mchakato. Wao wakisikia usajili wanawaza ubingwa?Sasa matusi ya nini, mkuu si ndio wameanza, tatizo nini Manji kuwepo au. Huu ni mwanzo tu kwahiyo wasifurahi?
Una uhakika? Simba imeanza kujengwa toka kina Mavugo, Kichuya, Okwi, Peter Mwalyanzi nk uongozi ulikuwa chini ya Aveva kabla hajaenda jela. Taratibu wakaingiza wengine kina Bocco, Nyoni nk kabla ya Chama, Dilunga then wakaja Luis, Bwalya nksimba ilijengwa kwa misimu mingapi si waliwanunua kina kapmb azam wakajaza wakawa na tim bora mpka leo tim ni msim mmoja tuu
Kwani hujui Manji anaumwa Moyo?Manji ukimuangalia vizuri anaonekana mgonjwa...
Kama anatatizo fulani...
Hizi timu za kiswahili hizi? wataendelea kujikomba kwa matajiri hadi lini?
Mbaya zaidi zimeua timu za mikoa, mashirika mbalimbali, pamoja na taasisi za mpira
Ni jambo la kawaida mtu kuhujumu timu ya mkoa wake ili hizi timu mbili ambazo zinaathiri uchumi wa nchi, zinaletea watu uzuzu ws kufikiri.
Utakuta mchezaji kasajiliwa na timu tofauti na hizi lakini utasikia ni mshabiki wa timu hizi
Zimeua michezo tofauti na soka, viwanja vya michezo mingine havipo
Mtoto anazaliwa anakosa alternative ya mchezo hata angekuwa ana kipaji cha volleyball, basket, handbal, tenis, riadha nk hana sehemu ya kujiendeleza kila mtu anayekutana naye ni maneno ya SIMBA,YANGA, MYAMA, UTOPOLO,
Chelsea, liver, Manu, Arsenal, Mancity, PSG kwahiyo nazo ni timu za kijinga?Hizi timu za kiswahili hizi? wataendelea kujikomba kwa matajiri hadi lini?
Mbaya zaidi zimeua timu za mikoa, mashirika mbalimbali, pamoja na taasisi za mpira
Ni jambo la kawaida mtu kuhujumu timu ya mkoa wake ili hizi timu mbili ambazo zinaathiri uchumi wa nchi, zinaletea watu uzuzu ws kufikiri.
Utakuta mchezaji kasajiliwa na timu tofauti na hizi lakini utasikia ni mshabiki wa timu hizi
Zimeua michezo tofauti na soka, viwanja vya michezo mingine havipo
Mtoto anazaliwa anakosa alternative ya mchezo hata angekuwa ana kipaji cha volleyball, basket, handbal, tenis, riadha nk hana sehemu ya kujiendeleza kila mtu anayekutana naye ni maneno ya SIMBA,YANGA, MYAMA, UTOPOLO,
Mkuu mbona una matusi makali hivyo?Waonee huruma utopwise๐๐๐๐๐๐Bila Manji je utopolo ni mwadui iliyochangamka?