Kishkwambi Cha mwalimu

Serikali isovu hili tatizo.

 
Walimu bhana hamjui hata matumizi yake na inaonekana hulali mda wote unawaza kukipata kishikwambi dah
Ningeshangaa nisinhekuona kwenye huu uzi ...sijui umeweka Alert mtu akiandika tu mwalimu unapata notification πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ningeshangaa nisinhekuona kwenye huu uzi ...sijui umeweka Alert mtu akiandika tu mwalimu unapata notification πŸ˜‚πŸ˜‚
Huyu bwana anapoint muhimu tatizo anachamba Sana.
 
Subiri mwongozo.

Sidhani kama serikali inaweza kuwapa walimu vishkwambi bila mwongozo na masharti kibao katika matumizi ya vishkwambi hivyo.

Maoni!
Kwa mfano ule mkonge wa taifa wa mawasiliano ungekuwa umesambazwa katika mashule, hii ilikuwa ni fursa ya walimu kuwapa vishkwambi na viunganishwe na Taasis ya Elimu kwa ajili ya kudownload vitabu, na material mengine.

Ila pia hata sasa serikali inaweza kuziamrisha kampuni za mawasiliano kuruhusu site kadhaa za kitaaluma ziwe free kuingia bila data, mfano Taasis ya Elimu kunapopatikana vitabu ili walimu wavitumie hivyo vishkwambi kwa matumizi ya kitaaluma.
 
Jamaa amekuwa na upumbavu mwingi. Akidhani ni sifa. Kumbe anajidharaulisha tu na watu wanaanza kumwona anakosa heshima na malezi mema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…