Kisia stori tano ambazo vijana hawa kwenye picha hii lazima wazigusie

Kisia stori tano ambazo vijana hawa kwenye picha hii lazima wazigusie

1. kupeleka moto, kila mtu ana tamba jins kamla flan na flan na flani, na mipango ya kumaliza pisi zenye nyodo kitaani
2. kusomea ramani mishangazi, ili kupata uhakika wa kupewa hela
3. shortcut za maisha kama ku bet, kuwa pusher na kutoboa nje ya nchi
4. ubishi tu wa mipira ya bongo na ulaya
5. kukataa ndoa
 
"jana kama siyo Juve ningekula milioni 5"
 
1. Story za mahusiano ya Diamond na Zuchu, Harmonize na Kajala
2. Mpira (Betting).
3. Miziki ya singeli na amapiano
 
Back
Top Bottom