min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Hawa vijana na wekeza kidogo kidogo ili niwanasue kwenye huu ufedhuli🤣Akiwemo na Poor Brain 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa vijana na wekeza kidogo kidogo ili niwanasue kwenye huu ufedhuli🤣Akiwemo na Poor Brain 😁😁
Hahahaha...Hahahah mara ooh " pale salenda kuna majini , kipind napiga boda niliwahi kutaka kuanguka pale""
Hahahaha,wanapanga mkeka hapoDaah! Kama si Barcelona kudroo leo nilikuwa nampasua muhindi parefu
Mkuu nishalogwa ujueeeeAkiwemo na Poor Brain 😁😁
Hakuna cha kulogwa nikujiendekeza tu.Mkuu nishalogwa ujueeee
Min me unajua wewe ni role model wangu mkuu......Hakuna cha kulogwa nikujiendekeza tu.
Mkuu wala haujawahi kufuata mimi nilivyo 😆Min me unajua wewe ni role model wangu mkuu......
Hivi unaelewa ni jinsi gani nafata kileunachofanya.😁😁😁
Hapana mkuu ukichek tabia zangu zaidi ya 99% ni matokeo ya kufatilia mienendo yako...Mkuu wala haujawahi kufuata mimi nilivyo 😆
Unanikosea sna mkuu , siwezi kuwa na mwanafunzi kama wewe😆😆😆Hapana mkuu ukichek tabia zangu zaidi ya 99% ni matokeo ya kufatilia mienendo yako...
Vijana wa siku hz siasa hawaiongelei kabisa1. Ukizama mamtoni unatoboa Maisha
2. Yule jamaa anatembea na Prado ni Freemason
3. Mganga anayetoa utajiri.
4. Mademu wanapenda sana hela.
5. Ccm inazingua sana, mafisadi kila kona
Kuna siku nilikuja nikasema ""min-me mtu na heshimu zake hapa jf mpaka mood wanamjua """Unanikosea sna mkuu , siwezi kuwa na mwanafunzi kama wewe😆😆😆
Sio kweli 😄😄Kuna siku nilikuja nikasema ""min-me mtu na heshimu zake hapa jf mpaka mood wanamjua """
Daah aiseee yaani nilianza kupokea comment za ajabu mkuu mpaka nikasema basi natania wakuu
Dah alaf akifka home bi mkubwa ujapka 🤔🤔🤔 inafikirsha sana
Simba na yanga ndio stor kubwa apo ikifuatiwa na Mademu wenye misambwanda
Hivi unajua Poor Brain ana ukimwi mkuuu!