Kisia stori tano ambazo vijana hawa kwenye picha hii lazima wazigusie

Kisia stori tano ambazo vijana hawa kwenye picha hii lazima wazigusie

5: "wazee najua mwajuma kafumaaniwa "
Hiyo inaingia namba nne kwenye story na vituko vya mtaa. Hapo utajua mtaa mzima kimetokea nini kwa details

Utani ni ile, kuitana majina ya kipuuzi au kumtengenezea story ya uongo na kweli ili mradi mtu achekwe.. Sometimes kutambiana kwa hiyo ukiwa na roho ndogo unakaa pembeni
 
1. Ukizama mamtoni unatoboa Maisha
2. Yule jamaa anatembea na Prado ni Freemason

3. Mganga anayetoa utajiri.
4. Mademu wanapenda sana hela.
5. Ccm inazingua sana, mafisadi kila kona
Hapo story Kuu , Diamond na Ali kibao nani tajiri
 
Sawa sawa
Hiyo inaingia namba nne kwenye story na vituko vya mtaa. Hapo utajua mtaa mzima kimetokea nini kwa details

Utani ni ile, kuitana majina ya kipuuzi au kumtengenezea story ya uongo na kweli ili mradi mtu achekwe.. Sometimes kutambiana kwa hiyo ukiwa na roho ndogo unakaa pembeni
 
Sema moshi arusha wana stories flani za kibabe sana , utasikia kuna ile chuma ya milioni mia tatu halafu ni dogo anaendesha hata miaka 25 hajafika arifuuu 😆
Hahahahha

Uzuri wa kule ata akilewa unakuta amepangia bajeti

Nimekaa kule nawafahamu sana jamaa wale🤣🤣
 
Back
Top Bottom