Kisiasa sisi ni wabaguzi kuliko Wazungu?

Kisiasa sisi ni wabaguzi kuliko Wazungu?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kwenye nchi za Ulaya na Marekani ni rahisi sana kuona Waafrika (Siyo wamarekani weusi) wasio na historia na nchi za Ulaya ama Marekani wanapata nafasi za kisiasa kwenye nchi hizo. Lakini mpaka Mzungu achaguliwe Afrika kuwa Kiongozi, huwa ni shida sana.

Je, sisi waafrika linapokuja suala la kugombea nafasi za kisiasa, ni wabaguzi?
 
Tuanzie hapo Chadema
Nasikia chai yako unayokunywa haiwekwi maziwa bali "cream" ya maziwa. Kitafunwa ni Spanish fried Egg, Sausage, buttered sandwich, na Glass ya mixed fruit Juice. Nyie watu CCM inawalea vibaya sana.

Huwezi jua kama saa hizi uswahilini kwetu watu hawajapata kifungua kinywa na hawajui familia zao zitakula nini leo.
 
Nasia chai yako unayokunywa haiwekwi maziwa bali "cream" ya maziwa. Kitafunwa ni Spanish fried Egg, Sausage, buttered sandwich, na Glass ya mixed fruit Juice. Nyie watu CCM inawalea vibaya sana.

Huwezi jua kama saa hizi uswahilini kwetu watu hawajapata kifungua kinywa na hawajui familia zao zitakula nini leo.
Hao wasiobaguliwa UK ni wanachama wa vyama vya siasa

Hapa Africa CCM haina ubaguzi ndio unaweza kuona tuna Waziri Singasinga

Tupe nawewe mfano wa Chadema
 
Hao wasiobaguliwa UK ni wanachama wa vyama vya siasa

Hapa Africa CCM haina ubaguzi ndio unaweza kuona tuna Waziri Singasinga

Tupe nawewe mfano wa Chadema
Afrika yako wewe imeishia CCM na CHADEMA? Hizo CCM na CHADEMA unaweza kuziona wapi kwenye ramani ya Afrika?
 
Kwenye nchi za Ulaya na Marekani ni rahisi sana kuona Waafrika (Siyo wamarekani weusi) wasio na historia na nchi za Ulaya ama Marekani wanapata nafasi za kisiasa kwenye nchi hizo. Lakini mpaka Mzungu achaguliwe Afrika kuwa Kiongozi, huwa ni shida sana.

Je, sisi waafrika linapokuja suala la kugombea nafasi za kisiasa, ni wabaguzi?
Yani kwanza watutawale kisiasa. Waje watutawale kiuchumi. Sasa tena kama haitoshi waje kuwa viongozi kwenye serikali zetu...
 
Afrika ya kusini kuna wazungu lakini kwenye nafasi nyeti sa serikali hawapewi nafasi baada ya nchi kupata uhuru. Waafrika wameendelea kuharibu hizo sehemu nyeti baada ya kupewa uongozi. Ninashindwa kuamini kwamba lile shirika la ndege la SAA baada ya uongozi wa juu kuwa mwafrika, limefilisika. Shirika la umeme south Afrika limekuwa kama Tanesco yetu baada ya kupewa mwafrika. hii ina maana hata kwetu kungekuwa na mzungu hasingepewa nafasi kitu ambacho wazungu wakikuona wewe unazo akili hawakubagui bali wanazitumia akili zako kuendeleza nchi zao ndiyo maana wamarekani wakaweka green visa kuleta wenye akili wakaendeleze nchi yao. Sisi waafrika tunapeana uongozi kwa upendeleo au nepotism. Nilishangaa mtu wa Tanroad anateuliwa meneja wa shirika la ndege au bandari. Kweli tutafika? Poor African.
 
Kwenye nchi za Ulaya na Marekani ni rahisi sana kuona Waafrika (Siyo wamarekani weusi) wasio na historia na nchi za Ulaya ama Marekani wanapata nafasi za kisiasa kwenye nchi hizo. Lakini mpaka Mzungu achaguliwe Afrika kuwa Kiongozi, huwa ni shida sana.

Je, sisi waafrika linapokuja suala la kugombea nafasi za kisiasa, ni wabaguzi?
Sema Tanzania usitaje Afrika nzima.
 
Hao wasiobaguliwa UK ni wanachama wa vyama vya siasa

Hapa Africa CCM haina ubaguzi ndio unaweza kuona tuna Waziri Singasinga

Tupe nawewe mfano wa Chadema
Kwani Hii Chadema ilishawshi kuwa hata na waziri wa rangi yoyote? Mbona bila kuweka cdm hamjisikii, au book 7 haiingii kwa account
 
Back
Top Bottom