Alex Mponela
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 254
- 109
Wadau nawaombeni msaada, kisigino changu cha mguu wa kushoto kinaniuma sana utafikiri labda kuna msumari umeingia, nimewaona wataalamu wengine wakasema huenda ni uzito nipunguze uzito.
Nimefanya zoezi na kupunguza uzito karibia kilo tano lakini bado tu. Kisigino kinaniuma hasa wakati ninaamka asubuhi, ila nikiwa busy kinaacha, na nikiwa iddle tu kwa muda kama nikiwatch movies nusu saa tu tayari kinaanza tena!
Wakuu naomba msaada wenu!
Nimefanya zoezi na kupunguza uzito karibia kilo tano lakini bado tu. Kisigino kinaniuma hasa wakati ninaamka asubuhi, ila nikiwa busy kinaacha, na nikiwa iddle tu kwa muda kama nikiwatch movies nusu saa tu tayari kinaanza tena!
Wakuu naomba msaada wenu!