Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Wanasayansi waje watuambie Kwanini kisima hicho hakikauki maji tangu kilipochimbwa karne ya 17 hadi leo karne ya 21,
Pia kwanini kisima kina maji baridi licha ya kua kipo karibu sana na bahari?
Umenikumbusha makaburi ya Masharifu, wanasema vile visahani walivyonakshia kwenye kuta za makaburi vilikua vina madini wajanja wakaving'oa vyoteee.
Kuna kaburi la Sharifat na washirika wake pia, niliingia kupiga picha mule ndani bahati mbaya picha nimezihifadhi sehemu, ningeshare nanyi hapa.
Pia kwanini kisima kina maji baridi licha ya kua kipo karibu sana na bahari?
Umenikumbusha makaburi ya Masharifu, wanasema vile visahani walivyonakshia kwenye kuta za makaburi vilikua vina madini wajanja wakaving'oa vyoteee.
Kuna kaburi la Sharifat na washirika wake pia, niliingia kupiga picha mule ndani bahati mbaya picha nimezihifadhi sehemu, ningeshare nanyi hapa.