Kisiwa cha Mafia tushaamua, hatumtaki Bulji

Kisiwa cha Mafia tushaamua, hatumtaki Bulji

CCM watawajia na udini na kuwaambia kuwa msiwachague CDM kwa sababu wao ni wakatoliki. Na nyie mlivyokuwa wepesi wa kuamini hata upumbavu mradi tu umegusa uislamu, mtaendelea na CCM tu!!! Poleni sana!!
Duuuh aisee! you made my day....yaani hujakosea kabisa,maana 95% ya wakazi wa Mafia ni waislaam....so CDM wakitia timu tu hapo ili
kuwakomboeni, ccm watakuja na single ya udini na nyinyi kwa akilizenu zilivyombovu mtakubali na mtawapigia kura magamba.
Kaeni chini,mtafakari na kisha fanyeni maamuzi ya kuwakaribisha wapinzani "hasa CDM"
 
Hatuna cha kukusaidia mpaka ujitambue kwanza mi CCM haina tofauti.
 
Mnatakiwa muikatae CCM kwa ujumla wake sio tu huyo mbunge.

Nilivyokusoma ni kama vile CCM wakileta mgombea mwingine mtamchagua. Kama hivyo ndivyo mtakuwa hamjatatua tatizo!
Uko sahihi Dr.
 
Huyu Mbunge wa Mafia kashafanya nini tangu arejeshwe mwaka jana?

Huyu mbunge alikuwa anawashawishi wananchi wa kule kisiwani akiwaambia ifikapo january 2011 )Serikali yake itakuwa imekamilisha gati. Mda umepita na hakuna maendeleo yoyote ya gati wala hiyo barabara waliyoahidi!

Kwa sasa anaogopa hata kupita mafia. Lakini hata hivyo hana cha kupoteza, hana makazi huko mafia wala familia yake, nadhani hana mpango wa kurudi tena
 
Si wajitenge tu.so simple,Tafuta matajiri wa Latin America,watawekeza ktk biashara yao.Then mnaanza kazi.Ufaransa hawako nyuma ktk kutoa misaada ya sampuli hizi,Fasta Fasta watawaletea wale jamaa wa French Legion-er .
 
As Salaam Aleykum,
Ninachowaomba nyinyi wote mlioongea kwa kiswahili na wale wanaojidai kuwachanganya watu wengine na kiingereza kibovu..
Mnatakiwa kum tathmini mtu kwa kazi anazozifanya.. Kimbau alikuwepo miaka 25 alifanya nini? je mnajua kuwa ndani ya miaka 11 hii ya bulji madaliko aliyoya leta katika sekta ya elimu na afya??? kulikuwa na mashule ya mangapi ya msingi na sekondari kipindi cha kimbau na sasa yapo mangapi? kuna zahanati ngapi???? misaada inayoletwa kwa nguvu za bulji hapo mafia haziwafikii wananchi>???
muwise wavivu wa kufikiri... msiangalie chadema au ccm.. muangalieni mtu anayekosa chakula nyumbani kwake kwasababu mmafia alikuja asubuhi na shida kubwa zaidi na huyo mbunge kaona bora alaze familia yake kwa njaa ili mradi afanikiwe mwenye matatizo... angalieni utu sio chama ndio mutaendelea...
 
hakuna mtu mwenye akili mbovu... sisi wa mafia ni binadamu kama nyinyi... kama nyinyi mnajiona bora kwa kutuita sisi wapumbavu basi nyinyi ndio inabidi muchunguzwe akili zenu.. kura haziombwi kwa kutukana.. tunayaona na baada ya hapo tunayafanyia maamuzi.. hatutaki chama, tunamtaka mtu ambaye ana nia ya kusaidia watu watu wake.. na bulji mumpende au musimpende.. bado anafanya kazi kubwa sana... na wenye akili wanaona 🙂
 
wewe una elekea sio mmafia... unawatia chumvi watu wapate kughadhibika lakini hauna imani na watu wa mafia.. kila mtu hapa anataka anngalie masilahi yake tu.. bulji anaangalia masilahi ya watu wake.. inafikia kipindi nyumbani kwake kuna kuwa hakuna chakula na familia yake ina suffer.. watu kama nyinyi mnabidi mchukuliwe hatua maana mna haribu amani tuliyokuwa nayo wamafia.. nakushauri kaangalie kazi alizozifanya buji huko mafia ndio muongee nonsense zenu.. 🙂
 
wewe jamaa unanchekesha sana hayo maamuzi umeamua peke yako
 
Majimbo ambayo ccm ipo inabidi mteseke sana ili akili yenu ipate kupambanua mambo vizuri!endeleni kuteseka na ccm yenu ,wajinga ndio ,..!

nadhani hii ni vice versa ... majimbo yaliyochukuliwa na CDM wanachi ndio wanaoteseka na vurugu ... hawaishi kwa amani ... nakumbuka cdm walipofanya mkesha arusha .. kuna dada alihojiwa bbc alikuwa kilalamika kwamba usiku hawakulala kwa raha sababu ya vurugu...




 
Buujii mmh, wamafia tunateseka jamani Buji hana msaada wowote kuanzia Bweni mpaka Kilindoni nenda utende barabara mbovu umeme c wa uhakika hospitali haina dawa airpot ndo usiseme, mh. Ameelekeza nguvu zake kupambana na ITV eti hawapati kwenye laine apate kutetea uozo wa chama LESS THINKING CAPACITY mp.
 


nadhani hii ni vice versa ... majimbo yaliyochukuliwa na CDM wanachi ndio wanaoteseka na vurugu ... hawaishi kwa amani ... nakumbuka cdm walipofanya mkesha arusha .. kuna dada alihojiwa bbc alikuwa kilalamika kwamba usiku hawakulala kwa raha sababu ya vurugu...




fikra finyu angalia chanzo cha vurugu na si matokeo t*ko we.
 
Hili jimbo mnalolalamika linaukubwa gani kwani? Na lina watu wangapi hasa? Na huyo mbunge wenu alishinda kwa kura ngapi?? Aaaagggggghhhhh!!!!!
 
Back
Top Bottom