Kisiwa cha Mafia tushaamua, hatumtaki Bulji

wakati wa kujadili hoja ya gesi nakumbuka Shibuda pamoja na mapungufu yake alitetea wakulima wa pamba na kusema hiyo ndiyo gesi yao so wakumbukwe kwenye kilimo kwanza kwa pembejeo Buji kasema nn kwenye minazi inayokufa mafia? Tulimpeleka bungeni akatetee familia yake na chama? Naomba mwana jf mwenye cv yake aiweke jamvini tuichambue.
 
We jamaa akili yako ndogo kama sisimizi.Hivi inawezekana familia ya mbunge ikalala na njaa?Ndo anavyowanganya huyo mbunge wenu na nyie mnadanganyika kijinga hivyo?!!Duh!Ama kweli......Kuna mchangiajia mmoja kawaita watu wa Mafia WAPUMBAVU,kwa UTUMBO huu uliouandika nadhani yule mchangiaji hakukosea kabisa.!
 

Mkuu tuombe radhi watu wa Mafia!!! Umefanya very bad generalization...
 
na bado, mpaka mtokoma kuringa mwaka huu. wenzenu wa karatu roho zetu kwatuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! pateni hayo mateso labda akili zenu zitawarudia huko mbeleni!
 
Wanamafia wafate kwao mfa yaonekana wewe CCM kwenda huko kaombe kula kwa bwana wenu DAU.....!! Tumeichoka CCM
 
mafia ina watu zaidi ya laki 1 haiwezekani tuongopewe kuwa mbunge mahiri aliopo hafai

mpaka uwanja wa ndege kajenga na bandari karibuni inakamilika
 
Wana Mafia kweli mmeamka

kwanza mna access to internet japo inaonekana hamko wengi

lakini wachache mliopo naona mnaitumia JF effectively

kwa hili nawapa hongera sana
 
nawapa pole sana kwa kuchgua wabunge wa aina hii, ila nawa tahadhali pale mtakapofanya mabadiliko ya mbunge msithubutu kumchagua omari kimbau yaani huyu ni zaidi ya kimeo. alikua diwani kata ya kijitonyama, hajawahi kuoneka kwenye kata na kuhama kabisa kwy kata yake na kuhamia masaki alikojenga nyumba baada ya kupata udiwani. sasa mkimpa jimbo ndio hatahamia ngurudoto.
 

Hiyi ndio hali ya elimu Mafia
 

huko CUF ndo itaeleweka sio cdm
 
Acheni kulalamika nyie, mlifurahi kupewa kofia,t.shirt na ubwabwa .ngojeni warudishe gharama za hivi vitu mlivyokula kwanza ,salio likiwepo mtakumbukwa 2014 ama 2015 mmesikia!mateka wa magamba nyie!wacha cha moto mkipate mpaka akili ziwazibuke!
 
Wakati wa kuchagua Mnadanganywa mnadanganyika..Acha kupiga Mayowe..huo ni mshahara wa kutokufikiri kwenu
 
huko CUF ndo itaeleweka sio cdm

CUF yenyewe kama CCM B. Watu wa majimbo mengi ya pwani,na kusini mashariki,kama Lindi na Mtwara,kuna nguvu ya wana CUF zaidi. Hata CCM hushinda kwa kuchakachua! Ila kutokana na 'propaganda kali..',wana CUF bora waipigie CCM kuliko Chadema....!
 
KIkwete is a liar big time aiseee.....hamuogopi hata Mungu huyu jamaa
 
Mnatakiwa muikatae CCM kwa ujumla wake sio tu huyo mbunge.

Nilivyokusoma ni kama vile CCM wakileta mgombea mwingine mtamchagua. Kama hivyo ndivyo mtakuwa hamjatatua tatizo!
wakati ni ukuta-----muda ni mwalimu mzuri sana,.........muda umefanya ulambe matapishi yako,hakika muda ni mwalimu wa haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…