Kiboko yake Putin tu. Anaenda pigana na waarab ambao hawana tech za mikombora wananunua, akamle Putin sasa.
Hapa ndipo US pro mnanichekesha. Wakiuawa waarab fresh lakini Ukraine kelele.
Kauli yako ya anawala sana Waarab ni kama vile hata wakifa poa tu.
It seems kwenu there are people who are more human than others.