Kisumu gets it’s first Traffic Light [emoji613] in 2019

Kisumu gets it’s first Traffic Light [emoji613] in 2019

Afadhali sisi tinazindua traffic lights. Najua nchi fulani ambayo inazindua hadi lift kwenye jumba. Halafu nasikia eti hiyo Mbeya inaitwa Jiji. A city without even a single building with a lift prior to that "launching". Ukistaajabu ya Musa...
Screenshot_20190523-153156.png
Screenshot_20190523-153333.png

Wamezindua Traffic Light [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Na Hiyo Nairobi has a larger GDP than the Whole of The Dark poor Nation Dangagiza…..pwahahahaha
Gdp is BS. It is wealth accumulated by few people. Wengi wenu nyie maskini wa kutupwa, Tz tuna small gdp and an inclusive economy, leading in africa. Ndio maana wabongo wanashangaa sana 3rd city ya mid income kenya kupata traffic light 2019.
 
Gdp is BS. It is wealth accumulated by few people. Wengi wenu nyie maskini wa kutupwa, Tz tuna small gdp and an inclusive economy, leading in africa. Ndio maana wabongo wanashangaa sana 3rd city ya mid income kenya kupata traffic light 2019.
Inclusive economy indeed.
tapatalk_1557144182930.jpeg
 
Gdp is BS. It is wealth accumulated by few people. Wengi wenu nyie maskini wa kutupwa, Tz tuna small gdp and an inclusive economy, leading in africa. Ndio maana wabongo wanashangaa sana 3rd city ya mid income kenya kupata traffic light 2019.
Tz nzima liko na flyover moja.
 
Gdp is BS. It is wealth accumulated by few people. Wengi wenu nyie maskini wa kutupwa, Tz tuna small gdp and an inclusive economy, leading in africa. Ndio maana wabongo wanashangaa sana 3rd city ya mid income kenya kupata traffic light 2019.
Eti inclusive economy? Ebu mkuu post GINI coefficient yenu hapa!
 
Naona mi jubilee inajifariji na visingizio vingi japo hilo la uzinduzi wa streetlights kisumu leo mwaka wa 2019 limekwamia tu hapo. HAKUNA pingamizi..
 
Kisumu is one of the best planned cities in kenya,with streets and avenues intersecting at 90 degrees,traffic flows smoothly even without traffics lights,i know the words 'avenues and streets' confuse tanzanians because your cities are big sprawling villages za ujamaa,then you see an idiot celebrating traffick lights in chato😀😀😀😀-a back water village without drainage and planning LOLk-indeed kenya and Tz are totally different when it comes to development.
Taratibu kijana ukiongelea Chato unaongelea hii kitu



Ndani ya miaka 7 Chato itakua inaichapa Nairobi ngumi za uso
 
Wewe nae uelewage nimesema miji mingi ya Tzn ni localised planned yaani vieneo vichache vichache ndo vimepimwa kama hapo Dom especially Dar road na gvt sitting place but iringa road huko nkonzwe,Arusha road mnadani huko na singida road even town centre is full of uswazi na slums
 
Eti inclusive economy? Ebu mkuu post GINI coefficient yenu hapa!
No time, but ni one of reports from reputable sources in the world, threads zipo hata huku. Tafuta mwenyewe.
Wtf is gini report, me sio mchumi buda.
 
Back
Top Bottom