Kisumu vs Mwanza

Kisumu vs Mwanza

Depay kaikana mchana kweupe 😂😂😂😂anadai ni 1920 kabaki kichaa mmoja naye aikatae au aikubali tumalize mjadala,
 
Ebu leta hizo picha za Uhuru zenye hazina rangi, ukileta nahama JF[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo rangi acha kwanza tunajua kabisa before first world War rangi hazikuwepo twende hapa 👇👇👇is this the current Kisumu city CBD unayopigia debe? au ni hivyo hivyo 1920
0e3a75d3c0a267302c7b9430aab27b65.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hiyo Kisumu yako kalinganishe na Mbeya maana ni ndege wanao fanana, sababu utatusumbua bure tu kutuletea lile daraja mnaloita flyover!
Ati. Mbeya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii Uchafu inakaa Genocide ndio unataka kulinganisha na Kisumu City.
#Mbeya vs Mwanza airport [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
suburb-of-the-city-of-mbeya-tanzania-africa-W1YC5P.jpeg
port%2Bp%255Bic.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom