Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Mkitoka hapa mfungue uzi wa mademu wa tz vs mademu wa Kenya wapi wakali...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani unapoambiwa mombasa nairobi highway service road ni km 10km haimaanishi ipo moja kwa moja jomba...
Yani kiufupi imekatwa katwa, kw mfano hyo ya mwanza..barabara ni 4 lanes lkn kuna mahali kuna six lane, na hyo lane ya mwisho mlipoleta picha nimeona gari la abiria limeegesha hku mbili zikiachwa kutumika..
Sasa six lane gani hyo eti lane moja kunaegeshwa magari ya abiria
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisumu na Mbeya ni city kwa population that's the main criteria considered kwa hizo miji kuwa city, piga ua!! ππππmbuzi (kisumu) hata kama ana ndevu na ng'ombe(mwanza) hana, ng'ombe ataendelea kuwa mkubwa milele daima πππππ(kama huwezi nielewa kwa lugha ya picha pole!!!)Jibu swali kwanza[emoji23][emoji23][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
Unaruka ruka nini sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapotelea kusikojulikanaKisumu na Mbeya ni city kwa population that's the main criteria considered kwa hizo miji kuwa city, piga ua!! ππππmbuzi (kisumu) hata kama ana ndevu na ng'ombe(mwanza) hana, ng'ombe ataendelea kuwa mkubwa milele daima πππππ(kama huwezi nielewa kwa lugha ya picha pole!!!)
Mwanza ,Dar is a slum ,sijui Mubeya,zote ni choo tu ya wala AlbinoKisumu na Mombasa ni mashimoni
Nairobi ni kituo cha treni ya wagandaMwanza ,Dar is a slum ,sijui Mubeya,zote ni choo tu ya wala Albino
HujaelewekaNi muda wa importantion ya wanawake toka Kenya
Niliingia mkenge kwenye KAZI za wadau nilichokipata kinanitosha maana hata maumbile watu wameinvest kwenye kuchezea saikolojia kama Ndiyo hivi tusahau kufikia makubaliano kwenye mambo ya msingi zaidi ya revenge zisizo na kichwa Wala miguu:!? Ungana nami:- MTU (1) kachukua saikolojia ya maumbile...www.jamiiforums.com
Km kisumu ni city kw ajili ya population, mwanza tusemeje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kisumu na Mbeya ni city kwa population that's the main criteria considered kwa hizo miji kuwa city, piga ua!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbuzi (kisumu) hata kama ana ndevu na ng'ombe(mwanza) hana, ng'ombe ataendelea kuwa mkubwa milele daima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23](kama huwezi nielewa kwa lugha ya picha pole!!!)
Eti kapotelea, kisumu ni city kw ajili ya idadi ya watu, je mwanza tusemeje[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kapotelea kusikojulikana
Heheee!!naona umekalia kuti kavu hku ukiendeleza maneno ya khanga...Watu ka nyie ni wa kupuuzwa
Unajifanya hukuiona ile picha mwenzako aliyoileta karibu na rock city mall...
Unaweza niambie kwanza kisumu ina slums ngapi? ππππwewe ndio unawivu! unaletewa vitu unabwabwaja tena kama sio wivu hio ni uchawi kabisa ππeti makazi zero, utalinganisha na 60%ya kisumu inayokaa kwa zile slums, Nyalenda wengi wanaijua humu, mnazani siijui obunga slum, manyatta slum? na nyinginezoEti kapotelea, kisumu ni city kw ajili ya idadi ya watu, je mwanza tusemeje[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Manake barabara zero,
Malls zero,
Makaazi zero,
Kiuchumi zero,
Wivu mbaya jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo,hiyo barabara ni njia nne na moja hapo ni service road...?Unajifanya hukuiona ile picha mwenzako aliyoileta karibu na rock city mall...
Halafu naona umeleta upande kuna fence, hapo lazima gari haitosimama...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwhyo tuhamie kwenyw battle mwanza city vs kisumu slums...nk.Unaweza niambie kwanza kisumu ina slums ngapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We kwanza unajua kazi ya six lane road?Kwa hiyo,hiyo barabara ni njia nne na moja hapo ni service road...?
Inaonekana hujui hata service road inakaaje ndugu
πππππππππwivu utakutesa sana? yaani watu wanaziona barabara wewe umekazana kupinga πUnajifanya hukuiona ile picha mwenzako aliyoileta karibu na rock city mall...
Halafu naona umeleta upande kuna fence, hapo lazima gari haitosimama...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha sijui... Ni nn?
Wewe mwenyewe umesema makazi zero! na kule kuliko na slums kwenyewe vipiKwhyo tuhamie kwenyw battle mwanza city vs kisumu slums...nk.
Km barabara za slums,
Health center,
Street lights,
Housing
Sent using Jamii Forums mobile app
Napinga nn wakati daladala husimama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wivu utakutesa sana? yaani watu wanaziona barabara wewe umekazana kupinga [emoji23]