Kisumu vs Mwanza

Kisumu vs Mwanza

2004 ilikuwa na watu laki 5 huku 60 percent wakiishi kwenye slums,
2019 ilikuwa na watu laki 8 kasoro [emoji23][emoji23][emoji23] na hapa wanaoishi kwenye slums waliongezeka maradufu,
Usisahau pia kenya inaongoza kwa ukuaji wa slums.View attachment 1321226

Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahu pia kenya inaongeza kw ukuaji wa middle class EA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tafuta za 2000 uje uwafurahishe vibwengo wenzio[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanza hamna six lane, ni two lanes halafu kuna mahalai mmeongezea service lane km 100m hivi..
Kadanganye wajinga

Sent using Jamii Forums mobile app
service lane ya 100m unajua kwenye highway service road inatakiwa iwe na urefu gani at minimum na unajua kazi ya service road na kama unajua service road ya 100m inaweza fanya izo kazi sijabisha kuhusu service road ila kwenye hivo vipimo hapana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
service lane ya 100m unajua kwenye highway service road inatakiwa iwe na urefu gani at minimum na unajua kazi ya service road na kama unajua service road ya 100m inaweza fanya izo kazi sijabisha kuhusu service road ila kwenye hivo vipimo hapana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani unapoambiwa mombasa nairobi highway service road ni km 10km haimaanishi ipo moja kwa moja jomba...

Yani kiufupi imekatwa katwa, kw mfano hyo ya mwanza..barabara ni 4 lanes lkn kuna mahali kuna six lane, na hyo lane ya mwisho mlipoleta picha nimeona gari la abiria limeegesha hku mbili zikiachwa kutumika..

Sasa six lane gani hyo eti lane moja kunaegeshwa magari ya abiria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom