i gave u a fact! Mwanza more marine water vessels than the whole of Kunyaland!
And I am asking you is that a measure of Development for any " sane" fool like you
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
i gave u a fact! Mwanza more marine water vessels than the whole of Kunyaland!
Wakenya akili zao sijui zina nini maana sio kwa kujikweza huko! Eti middle income country, ulishaona wapi middle income country ikawa bado inakumbwa na njaa na ina receive food donation kutoka inch za jangwani?
Fool r u suggesting those vessels r parked not doing any economic activities? do u think those vessels r like ur loss making KQ and SGR?And I am asking you is that a measure of Development for any " sane" fool like you
r u suggesting those vessels r parked not doing any economic activities?
Mwanza imeizidi Kisumu cbd tuu na population kubwa lakini kimapato,miundombinu,mavyuo,viwanda,estates and housing imepigwa sana huu ni ukweli
Acha uongo mkuu,majiji 3 ambayo ukikaa mwaka ukijaenda utakuta yamebadilika kwa kasi ya ujenzi ni Dar,Arusha na Dodoma tuuWe nae unataka kuwa mshamba sasa, Arusha iko nyumba ya Mwanza tena mbali tu na nina kuhakikishia by 25 Arusha itakuwa nyuma ya Dodoma pia
Hata ije kivipi Moro haiwezi kuipita Arusha sema itapata advantage ya miundombinu mizuri kwa vile iko katikati ya Dar na DomThings are Changing Arusha ijipange aiseh hata Moro pia inakuja kivingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kwenye mzunguko wa pesa,viwanda,u busy,ma vyuo na ustaarabu wa mji Arusha iko mbele sana ya Mwanza,Dar tu ndio mshindaniila lets be frank Arusha kwa leasure facilities ipo juu ya Mwanza yaani number of quality hotels (5 star), pubs, nyama choma joints, shopping malls and other recreation activities like Fredkin recreation center, Themi Falls Leisure park n others! Mwanza mpaka sasa haina golf course hata moja wakati Arusha ina viwili Gymkhana na Ngurdoto Crater na ukichanganya na ya Kilimanjaro Golf though nje ya mji (Arumeru),ni cha tatu! Several conference centers pia! Arusha cultural heritage center! Kwenye number of proper international schools (Cambridge IGSE and IB syllabuses), Arusha inashindana na Dar!
BTW Arusha ina uwezo wa ku-host any kind of tourists from those who want to stay in hotels for many people to those that r strictly private like the ones Abravomich and his entorage stayed i.e. high class lodges (5 star)!
Hata estates, housing na scenary etc naipa Arusha points zaidi ya Mwanza..fishchoma haaaaaOn malls u talk of size vs quantities Arusha has about three standing alone malls aside those arcades found in parastatals' premises! I dont believe Mwanza is far more famous than Arusha in nyamachoma joints may be in fishchoma! Aside 5 star hotels kitchen kuna places like Machweo from Onsea house (Belgium establishment) even Presidents can go for dinner! Uliza those billionaires that come for safari! On leasure only Zanzibar n Dar can rival! But economical Mwanza has more diversified activities than Arusha!
Pia niliona wanaanza ujenzi wa stend yao kuu bonge la eneo ambay itakuwa na mall la kuzidii can say dodoma n second fast growing ila haimaanishi imeipata mwanza anyway kuna project kubwa pia arusha na usipoelewa utaona mwaka huu wakianza ujenzi wa sgr musoma arusha to dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni uzezeta
Ile jengo letu la muhandisi house ikisimama pale Dodoma itakuwa ni moja ya majengo mazuri sana Tzn hata kupita hili la PAPhii ni 18+ tower nazani ila itakuwa top 10 ya majengo yaliyojengwa kisasa na facility za kisasa tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajadanganya, another thing mnajua ni Uchawi. Mko number one in the whole world[emoji23][emoji23][emoji23]Unachojua wewe ni Lugha ya mkoloni wako nothing more!
With 65% of its population uneducated[emoji23][emoji23]Mwanza alone (one of 30 regions of Tanzania) has more marine motor vessels than the whole of the so claimed middle income Kunyaland!
Have you answered my question? Nowonder your education system teaches Albino hunting and who told you on heaven's door that the number of marine motors is a measure of development? Luxemburg as small as Pemba without all those shenanigans is a bigger economy than you devil worshipers. And this Roberto 20 thing is she your wife? Can see Everytime you jump, (s)he likes
i gave u a fact! Mwanza more marine water vessels than the whole of Kunyaland!
The last time I remember ATCL made a loss of 10b with liabilities that are more than its assets. The planes are parked at the Mwanza mabati rolling mill due to lack of customers. On the other hand KQ carried the second highest passengers across Africa after Ethiopian airline.Fool r u suggesting those vessels r parked not doing any economic activities? do u think those vessels r like ur loss making KQ and SGR?
Lake Duluti lodge?Hiyo Malaika beach resort nilikuwa naisikia sana, kumbuka ile sio hotel moja kwa moja ni beach resort kitu ambacho huwezi kuta Arusha sababu arusha ni landlocked city
To have exposure... Kumbe hata ung'eng'e hawajuiI need it's definition you fool. Kwani hujatosheka kuwa mjinga?[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app