Tuje kwenye wingi wa viwanda sasakimoja kwa over 4 soft drinks in Mwanza ukijumlisha ni zaidi ya tano Mwanza!
Miji ya Tzn ni trush Sana basi tuu watu hawana mishipa ya aibu kuweka vipicha na video za huo uchafu.Tanzanians should see how a city should look like, see how Kisumu is well planned, see how the roads are clearly marked.
View attachment 1758750
Hivi mwanza nzima kuna kiwanda kina wafanyakazi hata 5000???kimoja kwa over 4 soft drinks in Mwanza ukijumlisha ni zaidi ya tano Mwanza!
Kuna uzi wao kule kwenye jukwaa la hoja binafsi hao wala michembe wa Mwanza wamekimbiaSiku mwanza wakifikia hapa uniambie..
Arusha is far ahead of mwanza in almost everything and everyone knows that
Hata hapa mnawakosea wakisumu kujilinganisha na mwanza atleast kisumu vs arusha could make sense
Mwanza mji mmoja local sana
As a Tanzanian i say mwanza mnatuaibisha sana watu wakiskia ni mji wa pili
Just to make this clear mwanza ni mji wa pili kwa watu wengi but in terms of development iko nyuma sana sana actually it's one of the poorest places in Tanzania[emoji41]
View attachment 1759045
View attachment 1759047
Juu ya nani,weka data kutoka TRA na statistics office sio vimagazeti vyenu uchwaraWewe mlugaluga wa wapi? Japokuwa kiutalii Arusha ipo juu Kiuchumi kwa ujumla Mwanza ipo juu! Arusha na Kisumu ukichanganya hazifikii Mwanza usini-misquote tafadhali! Mining na fishing sectors za Mwanza hazina mpinzani!
Viwanda vyenyewe ni vya kuhesabu,madini gani wakati masoko ya Madini yamejengwa kwenye yanachimbwa na transactions zinafanyika huko huko kama Grits,Kahama nk ?dhahabu je? Bandari za ziwa Victoria? breweries mbili vs moja Arusha? several soft drinks plants in Arusha vs none in Arusha? Wacha ujinga mapato ya Victoria fillets yanajulikana!
Mwanza’s grows its lakeside economy
The city is now the leading economic hub in western Tanzania.www.theeastafrican.co.ke
Hivi ndo vile vya cherehani sio? unajua mgodi unaajiri wangapi?
Achana na mshamba huyo,mwambie Transformers za umeme Tanesco wananunua Tanalec ya Arusha just mfano.Juzi tuu hapo Bajuta international wameanza kujenga kiwanda kikubwa cha kuzalisha viwatilifu vya aina mbalimbali kwa soko la EACNlichogundua una shida ya exposure...unajua arusha ni ya 3 kwa viwanda vingi nyuma ya dar na pwani uku kuna viwanda hadi vya kuassemble magari...ulichonichekesha ni hapo kwamba arusha hamna soft drink plants[emoji1787][emoji1787]
Na hiyo bandar ya ziwa victoria inachangia pato kiasi gani tulinganishe tu hata na uwanja wetu mdogo wa ndege arusha airport
Kwenye makusanyo ndo usiguse kabisa mkuu arusha alone inakusanya mapato sawa na mikoa yote ya kanda ya ziwa combined[emoji41]
Tuishi humu kwanza
View attachment 1759084
Wapi ambako revenue haziendi Serikalini? Kama ndio hivyo kea nini sasa ujivunie sekta ambazo haziwasaidii watu wenu kuepukana na umaskini?kwa Mweanza pitia hapa ! Hivyo viwanda vya soft drinks Arusha ni vp hebu vitaje!
Tax revenue ya Mwanza ipo chini kwa vile revenue ya dhahabu inaenda serikali kuu moja kwa moja!
Soma hii pdf hapo chini ,mwisho kabisa kuna attachments za mapato afu linganisha nani ni nani View attachment HOTUBA YA WN OR TAMISEMI 2021.22.pdfYan wewe taarifa ya mwanasiasa unaiamini au wewe umeshasahau mliambiwa atcl inaingiza faida kwa miaka 5 mfululizo[emoji1787]
Lete data from trusted sources mkuu iwe tra, nbs au hata tamisemi usilete habari za magazeti
Soft drinks ni pamoja na maji,TBL mbona viwanda vya maji nk vya soft drinks vipo?[emoji1787][emoji1787] Mbona huyu ngosha kapanik
Kuna sehemu nliyokwambia arusha kuna plant ya soft drinks
Nlikushangaa kwamba ulidhani hiyo ndio ishara ya utajiri
Ukiongelea arusha unaongelea makao makuu ya eac unajua inawatumishi wangapi unajua hizo offices zinachangia vipi kwa local economy???
Tanzanite haisafirishi nje now soko lake duniani liko arusha...still unaongelea kiwanda cha sayona[emoji41]
Huyo jamaa huwa ni mse*ge sana wala usibishane nae mkuu ni chuki na wivu dhidi ya Mwanza nashangaa sana wanavyojilinganisha na Mwanza, Arusha bado tena bado sanaaaaa kwa Mwanza, alafu huu huzi ni kisumu vs Mwanza nashangaa hili shangingi linaleta mku#du.
Ni pale anapofananisha uchumi wa Mwanza wa mining, industries, lake port services, fishing na Arusha ya tourism na industries chache!Huyo jamaa huwa ni mse*ge sana wala usibishane nae mkuu ni chuki na wivu dhidi ya Mwanza nashangaa sana wanavyojilinganisha na Mwanza, Arusha bado tena bado sanaaaaa kwa Mwanza, alafu huu huzi ni kisumu vs Mwanza nashangaa hili shangingi linaleta mku#du.
Hata vingekuwa mia lakini haiondoi ukweli kwamba Arusha ina viwanda vingi kuliko Mwanza na kama mnataka lists mseme, kwani kuwa na soft drinks factories nyingi ndio nini labda? Na wengine Wana viwanda aina nyingine maana sio lazima kuiganakimoja kwa over 4 soft drinks in Mwanza ukijumlisha ni zaidi ya tano Mwanza!
Utakuwa na mtindio wa ubongo ww.Mnavamia huzi usiowahusu haya mambo mngepeleka kwenye huzi wa Mwanza vs Arusha pili nimewaona hamna mzalendo pili mmejaa chuki sana wewe pamoja na bwege mwenzio anayejiita opportunity cost.MTAPATA TABU SANA NA CHUKI ZENU.Hivi mwanza nzima kuna kiwanda kina wafanyakazi hata 5000???
Poor City for poor people that's simply how we can define mwanzau
Mr Geza ulole achana na vichaa wa milembe hao, tupia mavitu na ongoing project za Mwanza tuzidi kujua kinachoendelea kwenye jiji zuri na tamu la MWANZA.Ni pale anapofananisha uchumi wa Mwanza wa mining, industries, lake port services, fishing na Arusha ya tourism na industries chache!
🤣🤣🤣Utakuwa na mtindio wa ubongo ww.Mnavamia huzi usiowahusu haya mambo mngepeleka kwenye huzi wa Mwanza vs Arusha pili nimewaona hamna mzalendo pili mmejaa chuki sana wewe pamoja na bwege mwenzio anayejiita opportunity cost.MTAPATA TABU SANA NA CHUKI ZENU.