Project za mwendazake ambazo hazijawah kuwa na faidaMr Geza ulole achana na vichaa wa milembe hao, tupia mavitu na ongoing project za Mwanza tuzidi kujua kinachoendelea kwenye jiji zuri na tamu la MWANZA.
Real investment inapimwa Kwa maendeleo ya private sector
Private sectors hawawezi kuwekeza kwenye hasara
Ndo maana hamna serious investment inaweza fanywa mwanza labda wawajengee wanyonge kiwanda cha sayona za jero jero hizo ndo mnaweza kununua nyie