Leta data kwamba watz wanamaisha mazuri zaidi ya wakenya wakati hata namanga hujafika sio unabwabwaja hapaEehh yamekuzidi mpaka umehamua kurudi kwenuu Eehh sio unatetea Mininchi ya watu based on opinions only utaaumbuka wenye nchi wenyewe wamekaa kimyaa kwa sababu wanajua utopolo wao uko , alfa wewe unakuja kutetea hapa eti wanaishi maishaa mazur kutuzidi kwa lipi wakati wanashindia makande siku nzima, wakati uku bongo kuna mikoa ukiienda bei ya vyakula kama mchele ipo chini kuzidi ya unga mfano sumbawanga na mbeya njombee alfu uje unilinganishe na mtu anashindia kande nitakuelewaje