Project za mwendazake ambazo hazijawah kuwa na faidaMr Geza ulole achana na vichaa wa milembe hao, tupia mavitu na ongoing project za Mwanza tuzidi kujua kinachoendelea kwenye jiji zuri na tamu la MWANZA.
Wanafarijianaga kwa stori za vijiweni Kuna zwazwa mwingine wa huko ziwani aliniambia mwanza inawatu million 4🤣🤣Juu ya nani,weka data kutoka TRA na statistics office sio vimagazeti vyenu uchwara
Hehehe, btw, Arusha looks better than Mwanza. Other than area and population, I don't see anything else that Mwanza beats Kisumu.Siku mwanza wakifikia hapa uniambie..
Arusha is far ahead of mwanza in almost everything and everyone knows that
Hata hapa mnawakosea wakisumu kujilinganisha na mwanza atleast kisumu vs arusha could make sense
Mwanza mji mmoja local sana
As a Tanzanian i say mwanza mnatuaibisha sana watu wakiskia ni mji wa pili
Just to make this clear mwanza ni mji wa pili kwa watu wengi but in terms of development iko nyuma sana sana actually it's one of the poorest places in Tanzania😎
View attachment 1759045
View attachment 1759047
Atleast you have seen that 😃Hehehe, btw, Arusha looks better than Mwanza. Other than area and population, I don't see anything else that Mwanza beats Kisumu.
We umeona HiloKuna uzi wao kule kwenye jukwaa la hoja binafsi hao wala michembe wa Mwanza wamekimbia
Hata humu jukwaani Mji pekee nje ya Dar ambao angalau unaweza linganisha na miji ya Kenya ni Arusha,
Ni vile tuu Tzn ishu ya mipango miji inadharirisha Sana miji na maviongozi ya ccm hata hayaoni kwamba ni muhimu
Sasa unataka ulie?Utakuwa na mtindio wa ubongo ww.Mnavamia huzi usiowahusu haya mambo mngepeleka kwenye huzi wa Mwanza vs Arusha pili nimewaona hamna mzalendo pili mmejaa chuki sana wewe pamoja na bwege mwenzio anayejiita opportunity cost.MTAPATA TABU SANA NA CHUKI ZENU.
🤣🤣🤣Msamehe huyo ndugu yangu kitombileSasa unataka ulie?
Hii information ya city proper vs built up area nimekuwa nilijaribu kuwaelimisha wabongo tangu niingie humu ila hawaelewi. Labda wewe Mtanzania mwenzao unaweza waelimisha maana wao hudai nairobi ni kanji kadogo kwa kuwa area ya city proper ni 696Sq. km. Ukiwaeleza total built up area ya Nairobi metro ndio the largest East Africa hawaelewi.We umeona Hilo
Kama Jana nilikua pale sanawari mjini kabisa naona traffic lights lakini naambiwa nipo arumeru
Sensa ya 2012 Arusha ilikua Na population ya 400k Na Zaidi kwenye eneo la 93kmsq tu Na population density ilikua inakimbizia ile ya baadhi ya manispaa za dar Na ndio maana ukiwa Arusha unapata ile vibe ya town hasa Mwanza ilikua Na 700k kwenye eneo la 422kmsq Sasa unaweza kuona tu maeneo mengi Sana kama kisongo tengeru USA mianzini sanawari hata mushono hayakuhesabiwa bt still tukawa mji wa 3
2014 walianza kuchora masterplans za arusha Na Mwanza kuja kugundua Arusha imetanuka Sana nje ya proper city boundaries kwahiyo eneo la mjini la arusha ni 608kmsq while mwanza ni 422kmsq ile ile
Sisi ni wazalendo hasa ila mwanza haina misuli ya kushindana Na Kisumu hata kidogo tumeamua kuja huku ili tuokoe jahazi😃 atleast arusha and Kisumu could make sense
ONLY GREAT THINKERS WOULD UNDERSTAND THIS
Naelewa Sana mkuuHii information ya city proper vs built up area nimekuwa nilijaribu kuwaelimisha wabongo tangu niingie humu ila hawaelewi. Labda wewe Mtanzania mwenzao unaweza waelimisha maana wao hudai nairobi ni kanji kadogo kwa kuwa area ya city proper ni 696Sq. km. Ukiwaeleza total built up area ya Nairobi metro ndio the largest East Africa hawaelewi.
Serikali haikuweka ata mia pale rock city mall imejengwa na jiji kushirikia na mfuko wa lapf kuwa na akili basi.🤣🤣🤣
Tupate tabu Na huo mji maskini afrika ambao hata mall mnajengewa Na serikali
Bongo lalaz Kazi kuzaliana tu kama nyumbu😎
🤣🤣🤣🤣Sasa unataka ulie?
Wewe si ndio walewale wakina tundulisu mkiona mmebanwa mnahamishaq magolii mnaanzaa eti metro metro ili kuifanya Nairobi ionekane kubwaaaNaelewa Sana mkuu
Nairobi metro pop ni around 9 million
Largest in East Africa
Kitengela iko nje ya mji Lakin ina majengo mengi Zaidi ya Mwanza😂
Dar ina pop ya 6 million ila area ni 1500sqkm ila Kwa city proper area dar ni 600+sqkm yenye population ya around 3 to 4 million people only
Kuna mtani wangu wa Mwanza hapa aliniambia Wana 7000+sqkm🤣🤣 just forgive them abeg
Kitombile Hadi Leo hajuwagi kuwa halmashauri ni serikali Na lapf ni shirika la serikali maskini kitombile 😥Serikali haikuweka ata mia pale rock city mall imejengwa na jiji kushirikia na mfuko wa lapf kuwa na akili basi.
COMPARISON BETWEEN TANZANIAN AND KENYAN CITIES
KENYA------------------------TANZANIA
NAIROBI----------------------DAR
MOMBASA-------------------NIL
KISUMU------------------------ARUSHA
NAKURU-----------------------NIL
ELDORET----------------------MWANZA(EXCLD POPULATION)
Kawaida ukiongea ukweli unaonekana si mzalendo
Wakenya wametuacha sana in terms of development
Leo sisi tunazindua flyover ya kwanza dar Kisumu ilikuwepo tangu 2010🤣
My fellow Tanzanians kuwa wakweli haitufanyi tuwe inferior
Budget ya Kenya pekee hata ukichanganya Na nchi zote za eac zilizobaki hatuwafikii Sasa miji yetu tunawafikiaje??
Tukubali tujenge miji yetu bado tunasafari ndefu Sana miji mingi tunashindana nao kwa population tu lakini development, planning hata investment wametuacha mbali Sana labda kama hujawah tembea
NB: Mwanza msinichukie nimewafananisha Na Eldoret kutoa population nilitaka nifananishe na Kisii au Thika ila nikaona ndugu zangu mtanipiga mawe🤣
Mlimani city mall imejengwa na mtu binafsi?Kitombile Hadi Leo hajuwagi kuwa halmashauri ni serikali Na lapf ni shirika la serikali maskini kitombile 😥
Nyie ndo wali mliokua mnamuabudu meko mkajua kusifia tu Sasa Kwa taarifa yako tuko uchumi wa chini wa kati Na Wala sio uchumi wa kati kama mnavokaririshwa🤣Wewe si ndio walewale wakina tundulisu mkiona mmebanwa mnahamishaq magolii mnaanzaa eti metro metro ili kuifanya Nairobi ionekane kubwaaa
Mna hela ya kukaa kwenye hizo estate wabongo Na kama umesahau price ya kitu inapanda kutokana Na scarcity wenye hela ni wachache bongo ndo maana unapata ardhi kizembe zembe🤣Mmkazania mipango miji mipango miji mnasahau kwamba Kenya viwanja ni bei ghalii mwananchi wa kawaida hawez kumiliki kiwanja Nairobi wakati dar ukiwa na milioni yako (50k) unaibuka chanika unajichakulia kiwanja chako unaanza kujenga alafu kuna jitu hapa linabwabwaja eti wakenya wametuzidi kwa mipango miji kwa au kwasababu umeona mi estate kibao ndio ukaona wametuzidi hapa bongo izo estate ukizijenga atakaa nani
Huyu zwazwa mwingine Tena Kwa hiyo unadhan mliman city ni ya umma kisa ipo karibu Na chuo cha mliman😂Mlimani city mall imejengwa na mtu binafsi?
Nionyeshe walipo andika nairobii is largest city and most populous city in eastern Africa sio kuniandikia nyimbo za singeli hapaNyie ndo wali mliokua mnamuabudu meko mkajua kusifia tu Sasa Kwa taarifa yako tuko uchumi wa chini wa kati Na Wala sio uchumi wa kati kama mnavokaririshwa🤣
View attachment 1759385