Hapo sawa mazeeView attachment 1766910View attachment 1766911View attachment 1766912View attachment 1766913
ndo hii cha ajabu.. tz tumewapa zaidi ya miaka mia moja na hata mkijaribu kutunusia ni bahati
🙏🙏🙏🤣🤣🤣
Mi napenda tu nikiona like ya kitombile anakuaga Na Amani Sana akipata sapoti ndugu yangu huyu
Hawa ndugu zako walileta ligi ya The great Mwanza city vs kisumu, sasa wameona kisumu kwa Mwanza ni kama kakijiji fulani hivi sasa wanataka collaboration yaan waungane na Mombasa vs Mwanza kwa kweli hili jiji linawapa tabu sana.🤣🤣
Kidogo kidogo wanashindana Na Mombasa
Baadae watasema Mwanza Kuna stendi hata London hamna
Hawa ndugu zangu akili zao zinawatosha wao tu😥
hivi vitu havija jengwa bado.. kiburi niya nini msela.. mombasani tulikwisha yajenga kitambo... tukienda nairobaa sijui tuaanzia wapi sijui tutamalizia wapi?!!.. kwa sahii tuwachie tu hapo..Hii ndo Rock City(Mwanza)hiyo Mombasa ni jina tu.
View attachment 1766945
View attachment 1766947
View attachment 1766948
View attachment 1766954
View attachment 1766955
View attachment 1766957
View attachment 1766964
View attachment 1766965
View attachment 1767029
aje hasa.. ona, mwanza ni ya pili.. mombasa ni ya pili.. tucheze tu basi kwenye hiyo ligi.. mtajua hamjui aisee..Hawa ndugu zako walileta ligi ya The great Mwanza city vs kisumu, sasa wameona kisumu kwa Mwanza ni kama kakijiji fulani hivi sasa wanataka collaboration yaan waungane na Mombasa vs Mwanza kwa kweli hili jiji linawapa tabu sana.
Siku hizi radio na TV ziko Hadi Namanyere Nkasi Tandahimba huko ko sio big deal na hicho kitv chenu cha maccm huwa hatuangaliiHivi Arusha ina media ya maana kweli inayosikilizwa na kutazamwa mikoa yote Tanzania?!
1.Arusha kuna TV station kubwa kufikia hata nusu ya star TV?!
2. Radio station Kama RFA inayosikika nchi nzima na nchi zote za maziwa makuu, mtambo kama huo Arusha upo kweli?!
3. Radio inayofikia hata nusu tu ya coverage ya kiss fm Arusha ipo?!
Mwanza ina mameya wawili wanaosimamia halmashauri mbili zinazounda jiji, huko Arusha ni ngapi?
Idadi ya ndege zinazotua na kupaa Mwanza ni nyingi kuliko Arusha.
Sio Watzn sema wapumbavu wa ccm ndio wazee wa propaganda na wanawafaidi mazwazwa mengi huku Bongo ambao hawana exposure wala pesa ya kusafiri popote.wao wa tz wanaona ni kama nchi yao ndio iliyoendelea zaidi kuliko nchi yoyote africa!. wao wanaeza kuisifia ukadhani ughaibuni, na kwa hakika hakuna cha ajabu, paakawaida sana. wacha bado wazidi kuota ndoto, sijui nani aliwapumbaza hawa watu
Nyingi ni vile vindege Tax Mbugani - Arusha. Na abiria asilimia kubwa wazungu [emoji4][emoji4][emoji4]Arusha airport imeizid adi KIA na bado unaziamini hizi statistics.
Hapo kitu gani haijajengwa??Wewe tulia sindano ikuingie na hiyo Mombasa old town😂😂😂hivi vitu havija jengwa bado.. kiburi niya nini msela.. mombasani tulikwisha yajenga kitambo... tukienda nairobaa sijui tuaanzia wapi sijui tutamalizia wapi?!!.. kwa sahii tuwachie tu hapo..
eti old-town.. ok, kwasababu Dar-is-slum ni afadhaliHapo kitu gani haijajengwa??Wewe tulia sindano ikuingie na hiyo Mombasa old town😂😂😂
Wenzako wakujibu👇👇Hivi vitu kwa Mombasa ni ndoto hiyo Mombasa kwa Mwanza ni jina tu😂😂😂
Hahaha, inaonekana hujui Mombasa vizuri. Let me give you a glimpse of Mombasa in pictures.Hii ndo Rock City(Mwanza)hiyo Mombasa ni jina tu.
View attachment 1766945
View attachment 1766947
View attachment 1766948
View attachment 1766954
View attachment 1766955
View attachment 1766957
View attachment 1766964
View attachment 1766965
View attachment 1767029
View attachment 1767275
View attachment 1767277
Usiwahi jaribu kulinganisha Mombasa na hizo ujinga tena.Hii ndo Rock City(Mwanza)hiyo Mombasa ni jina tu.
View attachment 1766945
View attachment 1766947
View attachment 1766948
View attachment 1766954
View attachment 1766955
View attachment 1766957
View attachment 1766964
View attachment 1766965
View attachment 1767029
View attachment 1767275
View attachment 1767277
Mombasa ina thread yake Mombasa and Zanzibar Beach Lodges comparisonUsiwahi jaribu kulinganisha Mombasa na hizo ujinga tena.
View attachment 1768928View attachment 1768930View attachment 1768931
You don't plan for me you mongoose. I post wherever I like and whenever I want to.Mombasa ina thread yake Mombasa and Zanzibar Beach Lodges comparison
Usiwahi jaribu kulinganisha Mombasa na hizo ujinga tena.
View attachment 1768928View attachment 1768930View attachment 1768931
Hizi picha unaweka hapa ni level za Kisii. Hata huna aibu kituonyesha hizo uninspiring pictures.