Dpresident tz
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 300
- 350
Watu wa mwanza mnatuaibisha Sana๐
Wewe kijana mbishi soma hapo chini alafu eundelee kusema ngonjera zako Arusha tajiri.๐๐๐Watu wa mwanza mnatuaibisha Sana๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa mwanza mnatuaibisha Sana๐
Wewe kijana mbishi soma hapo chini alafu eundelee kusema ngonjera zako Arusha tajiri.๐๐๐Watu wa mwanza mnatuaibisha Sana๐
Source???๐คฃ๐คฃ๐คฃWewe kijana mbishi soma hapo chini alafu eundelee kusema ngonjera zako Arusha tajiri.๐๐๐
View attachment 1770776
View attachment 1770777
Hii Mbeya ni kabla ya kugawanywa au baada?Wewe kijana mbishi soma hapo chini alafu eundelee kusema ngonjera zako Arusha tajiri.๐๐๐
View attachment 1770776
View attachment 1770777
Kweli wewe kilaza yaani umeshindwa hata kuelewa maana ya NBS-National Buraeu Statistics at Ministry of finance and planning 2020,wewe ni mbishi wa kuzaliwa unahitaji tuzo๐๐๐Source???๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Ndio Yale magazeti yenu ya ziwani๐ฅ
Hizo ni takwimu za 2019 ambazo zilitumika katika mipango ya 2020,kwahiyo mbeya ilikuwa imeishagawanywa.Hii Mbeya ni kabla ya kugawanywa au baada?
๐คฃ๐คฃ๐คฃKweli wewe kilaza yaani umeshindwa hata kuelewa maana ya NBS-National Buraeu Statistics at Ministry of finance and planning 2020,wewe ni mbishi wa kuzaliwa unahitaji tuzo๐๐๐
Kwann Shinyanga imechanganywa na Simiyu? Kwanini zisisimame pekee yao kama Geita?Hizo ni takwimu za 2019 ambazo zilitumika katika mipango ya 2020,kwahiyo mbeya ilikuwa imeishagawanywa.
Tusiendelee kupiganisha kelele basi umeshinda Arusha inaizidi Mwanza kwa kila kitu.Since 2021 Arusha is the second largest in Tanzania after Dar.Hakuna shida Tanzania yetu ni moja.๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Vimagazeti uchwara
Weka hizo data hapa tuzione boss
Kama tulivowawekea makusanyo ya TRA
Ila inahuzunisha Sana ukijumuisha Kanda nzima ya ziwa mapato yayafikii mkoa mmoja wa arusha Dah๐ฅ
RIP HAYATI
MLIKUA NA SABABU YA KULIA BANDUGU
View attachment 1771733
Nawewe acha kutuchosha vichwa tupicha ni tuletule kila siku?? Sio lazima kupost.
Acha tuwakeleee kwanza๐๐๐,mambo mengine baadae.๐๐๐
Huyu jamaa anamaudhi! Hapo unakuta yanga kala goli! Mnaweza kugomea mechi kisingizio kaweka mpira kule na si goli mlizofungwa! ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐โโ๏ธ ๐คทโโ๏ธโ๏ธ