Kisumu vs Mwanza

Kisumu vs Mwanza

ona.. kenya ina ngaa usiku shinda tz. hio sio kwa maneno yangu, ila NASA Satelite Images 29,000km away into the Space at midnight
nakuru15.jpg
 
ona.. kenya ina ngaa usiku shinda tzView attachment 1773970
hili ndilo sababu kuu
.. hata hizi miji inayochukuliwa kama medium-size hapa kenya, ingepelekwa tz, ingevuruga miji za huko. naongelea miji kama, kericho, kitale, meru, nyeri, machakos, thika, kisii, naivasha, malindi etc.. kwa mfano my hometown of kericho, inayo orodheshwa kama mji nambari12 kwa ukubwa, nimejaribu kuilinganisha na miji za kadri za tz, lakini bado sijaona ya kuilinganisha nayo. kericho iko ligi yake mazee.. hii 👇hapa kericho kwa ufupi
KERICHO SKYLINE.jpg
kericho03.jpg
20210506_114133.jpg
kericho3.jpeg-1.jpg

kco city2.jpg
2015-12-21 15.10.20.jpg
20150426_175247_zps0uutf03h.jpg
KERICHO 02.jpg


👇Green Square Mall, kericho.
20161023_125253.jpg
kericho4.jpg
KERICHO CITY (2).jpg


👇Simba Gate Mall, kericho.
kericho1.jpeg-1.jpg
20210405_161041.jpg
20161023_125359.jpg
kericho1.jpg
20210405_160040.jpg
kericho17.jpg
20210506_205542.jpg


👇tea estates, kericho town in the background
kericho17.jpg
20190216_163838.jpg
wazungu wameuteka mji huu kweli,.. British companies kama vile, Williamson Tea, Finlays Tea, Brooke Bond.. majina ni mengi tu.. huu, kidogo ni mji wa asili nyingi tu
kericho12.jpg


👇Automobile Industry in kericho
kericho15.jpg
kericho14.jpg


👇Sacred Hearts Cathedral, Kericho. The second largest Cathedral in kenya only after Don Bosco Cathedral in Nairobi
kericho19.jpg
kericho9.jpg


👇Guru Nanak, kericho.. the largest Sikh Temple in kenya!
kericho6.jpg
kericho13.jpg


👇Kericho Interchange on course, under construction by SBI International Co.
kericho10.jpg
kericho18.jpg
kericho2.jpg
Dpresident. hivo tu ndo kunaendaga.. usikonde.. kenya ni kenya tu, hata uende pembe gani..
 
hii ndo maana.. hata hizi miji inayochukuliwa kama medium-size hapa kenya, ingepelekwa tz, ingevuruga miji za huko. naongelea miji kama,kericho, kitale, meru, nyeri, machakos, thika, kisii, naivasha, malindi etc.. kwa mfano my hometown of kericho, nimejaribu kulinganisha na miji za kadri za tz, lakini bado sijaona wa kuilinganisha nayo. kericho iko ligi yake.. hii 👇hapa kericho kwa ufupiView attachment 1774205
View attachment 1774200
View attachment 1774187View attachment 1774189View attachment 1774190View attachment 1774191View attachment 1774192View attachment 1774218View attachment 1774221View attachment 1774223View attachment 1774223View attachment 1774243View attachment 1774244View attachment 1774245View attachment 1774246View attachment 1774248View attachment 1774249View attachment 1774250View attachment 1774252View attachment 1774251View attachment 1774254View attachment 1774255View attachment 1774256

View attachment 1774185

View attachment 1774253
Hawa ni mijisifa hewa tu, ni kelele wamependa sana but they have a long way to go!😂😂😂., Dar pekee ndio mji wa maana Tz., Mombasa inaipumulia kwa kisogo.,
 
“Binafsi huwa nashangazwa sana na wale ambao wanadhani kuwa eti Kenya na Tanzania ni washindani na kwamba uhusiano wetu unapaswa kuwa wa kukamiana na mbaya zaidi ni kule kuamini kwao kwamba hilo linawezekana tu mmoja wetu kumwangusha mwenzake”———Rais Samia Bungeni Kenya leo

“Watu (wanaoamini Tanzania na Kenya ni Washindani) ni wenye choyo, maono mafupi na akili mbovu, bahati mbaya Watu hawa wapo kwenye pande zote Kenya na Tanzania na wapo ambao wapo kwenye Serikali zetu na Wanasiasa, bahati nzuri sio wengi ndio maana uhusiano wetu unadumu”———Rais Samia

“Kwa yeyote anayefikiria kuleta uhasama baina yetu, ujumbe wangu kwao ni kwamba Tanzania na Kenya, tulikuwepo, tupo na tutaendelea kuwepo, iwe kiangazi iwe masika Tanzania na Kenya tutaendelea kuwepo”———Rais Samia

“Badala ya kunyang’anyana Watalii tuongeze vivutio vyetu vitakavyomfanya Mtalii aongeze siku za kukaa Kenya na Tanzania, Mwalimu Nyerere aliwahi kusema; tukipoteza muda mwingi kugawana kibaba tutapoteza muda mzuri wa kuvuna kikubwa” ———Rais Samia
#MillardAyoUPDATES
 
Hongera sana naona kagorofa kenu kamekamilika na umeamua kutulingishia[emoji23][emoji23][emoji23]asante tumekaona ila poleni inaonekana mmekajenga kwa shida sana maana umekapost toka 2019 saizi ndo kanakamilika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na nyinyi mko na gorofa gani kama sio hizo Mawe mnaita rock city. Interchange ni moja Tanzania na iko Dar[emoji23] na mnaita Mwanza Jiji la Pili Tanzania. Kenya iku juu
FB_IMG_16142811971771783.jpg
View attachment 1777204
 
Hongera sana naona kagorofa kenu kamekamilika na umeamua kutulingishia😂😂😂asante tumekaona ila poleni inaonekana mmekajenga kwa shida sana maana umekapost toka 2019 saizi ndo kanakamilika😂😂😂😂
2019wapi... niulize mimi mtu hata sitoki kisumu. hii project, ground breaking nili witness mimi last year around August. hata mwaka haija zama.. uwivu wako peleka chini ya bahari hindi. na hata ivo.. mna ghorofa ngapi zaidi ya 9, mle mwanza??. nimepata kuona tu ☝kamoja! alafu mtu anakuja akijivuna hapa
 
Hongera sana naona kagorofa kenu kamekamilika na umeamua kutulingishia😂😂😂asante tumekaona ila poleni inaonekana mmekajenga kwa shida sana maana umekapost toka 2019 saizi ndo kanakamilika😂😂😂😂
😂😂😂
 
Angalau ungecompare na Mombasa, na sio kisumu mkuu.


Alafu anakuja mtu hapa kuicompare Mwanza na kijiArusha.
 
Angalau ungecompare na Mombasa, na sio kisumu mkuu.


Alafu anakuja mtu hapa kuicompare Mwanza na kijiArusha.
tu ndo nimegundua waTzii hawana uzalendo hata kidogo. wao watapigana vita baina yao wenyewe. watazilinganisha gani zaidi kati za miji zao wenyewe..🤔🤔

kenya tuko na uzalendo kiasi cha aja. miji zote tunazichukua kama ya kila mkenya, hata kama hautoki huko.. yatafakari hao
 
Back
Top Bottom