Arnold mrass cannambo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 4,067
- 2,640
My friend wacha kujifunga.Unashabikia bila evidence... Mmeshindwa kuweka cha maana zaidi ya airport bubu...sa sijui unafurahia nn hapo...mbona mkiwekewa picha na video mnahamia kwenye mada ya airport[emoji3]
Subutu=Thubutu
Hicho sio kiswahili...mtanzania gan anatumia broken hivyo kama si nyang'auWatanzania ndio hutumia neno subutu,zarau,etc
Msukuma ndio anifundishe mm kiswahili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]km neno subutu tu hujawai liskia kisha unajitapa na kiswahili...Kuna aina mbili za aerial photograph; vertical aerial na oblique aerial...,wote hapo tumeweka aina moja ya picha ambayo ni oblique aerial.... Sasa hapo sijui unanifundisha mm au mm ndo nikufundishe wewe...
Halafu nyang'au mnabishanaje na mtanzania kiswahili?.... 'Subutu' ndo nn[emoji16][emoji3] Kamusi ya Kiswahili | Oxford Living Dictionaries
Nako ni mabatini kwel[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yawezekana nimetembea sehemu nyingi kuliko ww ila kutokana na upopoma wako wa kumjaji mtu usiyemfahamu ngoja nikuache hivyohivyo...
Mabatini residential areaView attachment 1270154
Pahari, mahari (place), halufu, mpila[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watanzania ndio hutumia neno subutu,zarau,etc
Sasa ww unajua kuliko TUKI...,kuliko TATAKI...kuliko OXFORD....si nimekuwekea kamusi hapo...umeiona hiyo subutu yako?...haya tafuta thubutu kama utaikosa...u pretend to know everything kumbe u know nothing...hata geography hujui njoo my son akupige msasa..Msukuma ndio anifundishe mm kiswahili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]km neno subutu tu hujawai liskia kisha unajitapa na kiswahili...
Km hujui kitu makinika bana usome rada kwanza...
Kisha hapa tunaongelea aerial view jomba?
Tuki my foot[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa ww unajua kuliko TUKI...,kuliko TATAKI...kuliko OXFORD....si nimekuwekea kamusi hapo...umeiona hiyo subutu yako?...haya tafuta thubutu kama utaikosa...u pretend to know everything kumbe u know nothing...hata geography hujui njoo my son akupige msasa..
Japo mi si msukuma ila msukuma anaongea kiswahili kizuri kuliko wewe...yaani mi nilishakuambia unajiona unajua kumbe hujui[emoji3]....si kheri ungetulia nilivyokusahihisha kuliko kuendelea kujivua nguo...elimu ya photograph inafundishwa primary class 6...my son kamaliza elimu ya msingi unaonaje nikuunganishie uwe duki..Tuki my foot[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakwambia kiswahili labda watu wa unguja ndio wanaweza nifunza lkn sio lisukuma la chato...
Huyo mtoto wako anifunze kw elimu gani hyo...
Manake elimu yenu ina part one(kiswahili) na part two(kingereza)
Kwhyo sai yuko part two ama[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Japo mi si msukuma ila msukuma anaongea kiswahili kizuri kuliko wewe...yaani mi nilishakuambia unajiona unajua kumbe hujui[emoji3]....si kheri ungetulia nilivyokusahihisha kuliko kuendelea kujivua nguo...elimu ya photograph inafundishwa primary class 6...my son kamaliza elimu ya msingi unaonaje nikuunganishie uwe duki..
Kiswahili bado hakijajikidhi jomba, ama hujui kisawahili ni maneno yaliyo toholewa kutoka lugha zingine na kuletwa pamoja..Japo mi si msukuma ila msukuma anaongea kiswahili kizuri kuliko wewe...yaani mi nilishakuambia unajiona unajua kumbe hujui[emoji3]....si kheri ungetulia nilivyokusahihisha kuliko kuendelea kujivua nguo...elimu ya photograph inafundishwa primary class 6...my son kamaliza elimu ya msingi unaonaje nikuunganishie uwe duki..
Kiswahili chenu ndo kina broken kama hizoKiswahili bado hakijajikidhi jomba, ama hujui kisawahili ni maneno yaliyo toholewa kutoka lugha zingine na kuletwa pamoja..
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1270576
Broken km vile "mlembo" sioKiswahili chenu ndo kina broken kama hizo