Yani mnateseka hadi mkaamua kujifarijiEldoret yenyewe tunayo pigiwa kelele ndio hii village town! coz no Eldoret out that View attachment 1297285View attachment 1297264
View attachment 1297283
Dah bro imepenya mpk unatokwa na mipovu yote hyo?usipanik broFACTS WILL REMAIN FACTS:Tanzania doesn't have cities it is only Dar is a slum...... All the rest combined can't reach the level of Mombasa. They are merely Ujamaa villages. Acheni kujilazimisha na mipichapicha hapa
Jifariji tu, but the truth Mwanza is next level cannot be compared to some village towns such as Kisumu/Nakuru /Eldoret/Kisii /Nyeri /etc at least Mombasa
Bado kwa kipi? Kwa level ya mwanza sio kulinganisha na hizo village zenu, ndio maana nakuambia at least Mombasa and not otherwise, tatizo lenu mkisha jenga vigorofa virefu vitatu hivi mnaona vina uwezo wa kulinganishwa na Mwanza!! endeleeni kujipa matumainiToka kwenye kijiji cha illemela hata uko Tandale hujawahi fika Mwanza, kama Dar es salaam hijafika next level unajaribu kutuambia nini juu ya Ujamaa villages? Mwanza bado sana. Baaado
Wenye vighorofa vitatu ni nyinyi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bado kwa kipi? Kwa level ya mwanza sio kulinganisha na hizo village zenu, ndio maana nakuambia at least Mombasa and not otherwise, tatizo lenu mkisha jenga vigorofa virefu vitatu hivi mnaona vina uwezo wa kulinganishwa na Mwanza!! endeleeni kujipa matumaini
Mnachekesha nyie watu!! yaan vitown vidogo vidogo kisa kime wekewa tughorofa kazaa na ukitoka tu hapo 1km from CBD huwezi kuta hata kighorofa cha 5f ndio mna compare na Mwanza!!Wenye vighorofa vitatu ni nyinyi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na hawa wanywa chang'aa. They are just boasting for their foolishness!View attachment 1297044
Unazungumzia hii Kisii not even the size of Iringa town!
Kweli bwana, watu wanaojisifia kukaa kwenye upangaji (wao wanaita apartments kwa lugha ile ya mkoloni)Achana na hawa wanywa chang'aa. They are just boasting for their foolishness!
hahahahah wewe kweli mkenya ''kuwaliko'' ndo nini baba mkuuHiyo tulijua kitaaambo, kwa midomo nyie ni Messi kwa reality Haiti iko Afadhali kuwaliko
Hahaha relax bro.... Sindano zimekuwa kali..... Umepewa facts na picha bado hutaki kuamini..... Yaani ww yule Tomaso akasome kwako....FACTS WILL REMAIN FACTS:Tanzania doesn't have cities it is only Dar is a slum...... All the rest combined can't reach the level of Mombasa. They are merely Ujamaa villages. Acheni kujilazimisha na mipichapicha hapa
Hauna hata aibu kaka.dah ebu sema ukweli ht Mara moko.Hiyo tulijua kitaaambo, kwa midomo nyie ni Messi kwa reality Haiti iko Afadhali kuwaliko
You are right,FACTS WILL REMAIN FACTS:Tanzania doesn't have cities it is only Dar is a slum...... All the rest combined can't reach the level of Mombasa. They are merely Ujamaa villages. Acheni kujilazimisha na mipichapicha hapa
Dar apartments zimejaa kibao..mpka masaki zikoKweli bwana, watu wanaojisifia kukaa kwenye upangaji (wao wanaita apartments kwa lugha ile ya mkoloni)
Huku ni tofauti na nyinyi huko, apartments za huku nyingi huishi wafanyakazi wa serikali i.e policeman, doctors, etc sababu wao wanahamishwa muda wowote lakini unakuta ana nyumba yake hata Singida huko
Na hutakuta mtu anajisifia kukaa kwenye apartment coz anajua sio yake amepangishwa tuHuku ni tofauti na nyinyi huko, apartments za huku nyingi huishi wafanyakazi wa serikali i.e policeman, doctors, etc sababu wao wanahamishwa muda wowote lakini unakuta ana nyumba yake hata Singida huko
Leta references hapa usilete porojo zisizo na mantikiYou are right,
East Africa cities ni Nairobi,Dar , Mombasa,kampala na labda Kigali...zingine zote ni towns,, economy ndogo