ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Huku ni isamilo ona hicho kilima kilivyoharibiwa wakati kilikuwa na miti na uoto saafi
Kwa jiji kama mwanza ambalo halina ukijani hiyo milima ingetunzwa ingesaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku ni isamilo ona hicho kilima kilivyoharibiwa wakati kilikuwa na miti na uoto saafi
ELDORET inafanana na Iringa au Moshi,Nakuru inafanana na Arusha/Dodoma labda miundombinu ya barabara na town planning ndio miji ya Kenya inazidi TznEldoret yenyewe tunayo pigiwa kelele ndio hii village town! coz no Eldoret out that View attachment 1297285View attachment 1297264
View attachment 1297283
Ni kweli miji mingi haijafikia level ya Mombasa,swali kwani kwa kuwa haijafikia level ya mombasa ndio sio cities? Mfano Mombasa haijafikia level ya Dar kwa hiyo sio city? jameni cities zinatofautiana ukubwaFACTS WILL REMAIN FACTS:Tanzania doesn't have cities it is only Dar is a slum...... All the rest combined can't reach the level of Mombasa. They are merely Ujamaa villages. Acheni kujilazimisha na mipichapicha hapa
af kuna nyang'au anataka kusema Kisumu is better than Mwanza!!! si anaumwa akili huyo
Tumejitahidi kuwawekea japo picha chache ili kuwafundisha hawa Chang'aa & Nyang'au Kenyans. Watakuwa wamepata somo barabara kabisa maana tukiwaacha watatusumbua sana. Ni kuwapa kichapo tu kama cha Nduli.Mwanza is our second largest city in Tanzania, ni aibu kuilinganisha na Kisumu which is ya ngap sijui ya tatu kwao huko....
Kisumu should be compared to Bukoba au Arusha labda ila sio Mwanza.. ni kuikosesha heshima yake inayostahili Mwanza
Mwanza against Mombasa
second city vs second city
The battle is over
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huku ni tofauti na nyinyi huko, apartments za huku nyingi huishi wafanyakazi wa serikali i.e policeman, doctors, etc sababu wao wanahamishwa muda wowote lakini unakuta ana nyumba yake hata Singida huko
Wale waliopanga uswazi huaga nao wanamajumba wapi[emoji848][emoji848][emoji848]Na hutakuta mtu anajisifia kukaa kwenye apartment coz anajua sio yake amepangishwa tu
hao mbona wanajenga mdogo, yaan huku hutapewa pongezi eti kwa kuwa unaishi kwenye apartment nzuri umepanga, what matters is to have your own houseWale waliopanga uswazi huaga nao wanamajumba wapi[emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Au hujui faida za kumiliki plot yako na kujenga nyumba ya kwako mwenyewe?Wale waliopanga uswazi huaga nao wanamajumba wapi[emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wapi hko watu hawamiliki viwanja na kujenga nyumba za kwao wenyeweAu hujui faida za kumiliki plot yako na kujenga nyumba ya kwako mwenyewe?
Kwn ni wapi hko watu hupewa pongezi kw kuishi kw appartmentshao mbona wanajenga mdogo, yaan huku hutapewa pongezi eti kwa kuwa unaishi kwenye apartment nzuri umepanga, what matters is to have your own house
Sasa msiwe mnauliza mambo ya apartments kama unafahamu fika kila sehemu watu wanajenga nyumba zao, shida inakuja kwenu wanakojenga vibanda (slums)
Tatizo slums zipo katika hifadhi ya serekali, pale hamna anayemiliki kiwanja..anytime wanaondolewa tofauti na uswazi watu wanamiliki zile nyumbaSasa msiwe mnauliza mambo ya apartments kama unafahamu fika kila sehemu watu wanajenga nyumba zao, shida inakuja kwenu wanakojenga vibanda (slums)
Na huku sehemu ambazo watu wamejenga bila mpangilio vizuri unakuta eneo kubwa lilikuwa linamilikiwa na wazawa wa eneo hilo, sasa mji unapozidi kupanuka hata kabla mpango mji hawajapima hayo maeneo wamiliki wanakuwa washawauzia watu bila mpangilio sahihi na wameshajenga, but watakao bomolewa nyumba zao ni walio kwenye mpango ambapo barabara zitapita na ni zoezi kweli kweli coz lazima walipwe fidiaTatizo slums zipo katika hifadhi ya serekali, pale hamna anayemiliki kiwanja..anytime wanaondolewa tofauti na uswazi watu wanamiliki zile nyumba
Sent using Jamii Forums mobile app